• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

KIKAO CHA WAWEKEZAJI NA WATALAAMU WA HALMASHAURI KUHUSU KUKABILIANA NA UGONJWA WA KIMETA

Posted on: September 17th, 2017

Na:Saumu Kweka

Approved By Joseph  Peter Mkumbwa.  agDICTO

        Kimeta ni ugonjwa unaoathiri Wanyamapori ,binadamu na wanyama wanaofugwa na binadamu,kama vile ng’ombe,mbuzi kondoo nk.Ugonjwa huu ukitokea unaweza kuathiri shughuli za utalii,vifo vya binadamu,wanyamapori na mifugo.

       Ugonjwa huo wa Kimeta umeripotiwa kuwepo katika Wilaya za jirani na Wilaya ya Longido ambazo ni Arusha,Arumeru,Moshi,Siha,Monduli na Wilaya ya Ngorongoro ambapo baadhi ya watu wameonyesha dalili za ugonjwa huo,pia wanyama wa kufugwa na wanyamapori wamekufa.

      Hivyo Halmashauri kwa kushirikiana na Wawekezaji wake wamefanya kikao ili kujadili jinsi gani ya kukabiliana na ugonjwa huu wa Kimeta unaoripotiwa kuzikumba Wilaya za jirani ,zinazopakana na Wilaya ya Longido,ambayo hutegemea zaidi shughuli za ufugaji wa wanyama.

       Timu ya Watalaamu mbalimbali kutoka Halmashauri kutoka idara za Afya,Mifugo,Maendeleo ya jamii,Wanyamapori na Mazingira wataanza kazi rasmi jumanne ya wiki ijayo kuanza kutoa elimu kwa jamii kwa kuzunguka vijiji vyote 49 vya Wilaya ya Longido.

        Ili kuhakikisha kwamba jamii inaepukana pamoja na kudhibiti ugonjwa huu hatari wa Kimeta inabidi elimu ya kutosha itolewe kwa wanajamii ,Chanjo kwa mifugo inayofugwa na Wanyama kutengwa yaani wanyama wanaofugwa kutengwa na au kuwa mbali na wanyamapori.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.