• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KISUKARI NA MAAMBUKIZI YA VVU YAMEPUNGUA UNENE WASHIKA KASI LONGIDO

Posted on: September 4th, 2017

 Na Johnson Ismail    

  Maambukizi ya Ukimwi W/longido, yamepungua kwa asilimia kubwa  kufikia hadi  asilimia1.9% ya aidadi ya walio jitokeza kupima kwenye mkesha wa Mbio za Mwenge uliofanyika kwenye uwanja wa Shule ya msingi  Namanga lakini Uzito umeongezeka hadi asilimia 29% ya idadi ya walio jitokeza kupima.

       Mkesha huo uli hamasisha Wananchi  wengi kupima Afya zao Jumla ya walio jitokeza kupima (VVU)Virusi vya Ukimwi  ilikua ni 225,Wanaume159 na Wanawake66, Kati ya hao walio gundulika kuwa na VVU ni 2  MwanaUme1 na Mwana Mke1.

      Hata hivyo Walio gundulika kuwa na VVU walipewa Ushauri na Saha na kuunganishwa na huduma za  Tiba na Mafunzo hapohapo, Pia ambao hawakuonekana na Maambukizi walipewa Ushauri na Saha ya matumizi ya condom na jinsi ya kuepuka maambukizi ya VVU kwa ujumla.

      Pia idadi ya waliopima hali ya lishe na magonjwa sugu yasiyo ambukiza ilikua ni 112, Wanaume 91,Wanawake21  Kati ya hao walio pima Uzito nagundulika kuwa na Unene ulio zidi ni 22 ,Wanaume ni 16,na Wanawake6  Wote walipewa Ushauri wa Lishe Bora na umuhimu wa matunda na mboga mboga mwilini.

       Nao walio pima Kisukari walikua jumla yao ni 2, Wanaume ni 16 na Wanawake5.Kati ya hao Mwana ume Mmoja aligundulika kuwa na Ugonjwa  wa Kisukari, Na ameshauriwa aendelee kufwatilia Afya yake kila Mara.

       Kufuatia ongezeko hilo la Unene wananchi wameombwa kuzingatia Mazoezi ili kuweka miili yao nyema.Pia kwawale wasio na maambukizi yaVVU wasiwatenge waathirika bali wawape ushirikiano wakutosha na Walio gundulika kuwa na VVU wasikate tamaa na kuona huo ndio mwisho wao bali waone huo ndio mwanzo wa maisha

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM