• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

KISUKARI NA MAAMBUKIZI YA VVU YAMEPUNGUA UNENE WASHIKA KASI LONGIDO

Posted on: September 4th, 2017

 Na Johnson Ismail    

  Maambukizi ya Ukimwi W/longido, yamepungua kwa asilimia kubwa  kufikia hadi  asilimia1.9% ya aidadi ya walio jitokeza kupima kwenye mkesha wa Mbio za Mwenge uliofanyika kwenye uwanja wa Shule ya msingi  Namanga lakini Uzito umeongezeka hadi asilimia 29% ya idadi ya walio jitokeza kupima.

       Mkesha huo uli hamasisha Wananchi  wengi kupima Afya zao Jumla ya walio jitokeza kupima (VVU)Virusi vya Ukimwi  ilikua ni 225,Wanaume159 na Wanawake66, Kati ya hao walio gundulika kuwa na VVU ni 2  MwanaUme1 na Mwana Mke1.

      Hata hivyo Walio gundulika kuwa na VVU walipewa Ushauri na Saha na kuunganishwa na huduma za  Tiba na Mafunzo hapohapo, Pia ambao hawakuonekana na Maambukizi walipewa Ushauri na Saha ya matumizi ya condom na jinsi ya kuepuka maambukizi ya VVU kwa ujumla.

      Pia idadi ya waliopima hali ya lishe na magonjwa sugu yasiyo ambukiza ilikua ni 112, Wanaume 91,Wanawake21  Kati ya hao walio pima Uzito nagundulika kuwa na Unene ulio zidi ni 22 ,Wanaume ni 16,na Wanawake6  Wote walipewa Ushauri wa Lishe Bora na umuhimu wa matunda na mboga mboga mwilini.

       Nao walio pima Kisukari walikua jumla yao ni 2, Wanaume ni 16 na Wanawake5.Kati ya hao Mwana ume Mmoja aligundulika kuwa na Ugonjwa  wa Kisukari, Na ameshauriwa aendelee kufwatilia Afya yake kila Mara.

       Kufuatia ongezeko hilo la Unene wananchi wameombwa kuzingatia Mazoezi ili kuweka miili yao nyema.Pia kwawale wasio na maambukizi yaVVU wasiwatenge waathirika bali wawape ushirikiano wakutosha na Walio gundulika kuwa na VVU wasikate tamaa na kuona huo ndio mwisho wao bali waone huo ndio mwanzo wa maisha

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.