• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

LOGIDO KUPEWA ELIMU YA UJASIRIAMALI

Posted on: August 14th, 2019

LONGIDO KUPEWA ELIMU YA UJASIRIAMALI.

Longido yapata siku tatu za kujifunza elimu ya ujairiamali, kupitia wataalamu  wa shirika la Intergrity Foundation Society lililopo chini ya mkurugenzi Isaac Mnyangi, wameanza kufundisha katika kijiji cha Longido katika ofisi ya kijiji kuanzia tarehe 12.08.2019 hadi 14.08.2019, wamefundisha vitu mbali mbali kama vile kutengeneza batiki, sabuni,na mafuta mgando ya kujipaka. Hivyo wajasiriamali wamefaidi mafunzo hayo na pia kupata vyeti, Isaac amewaasa wajasiriamali hao kuweza kujiajiri ili kuondokana na umasikini na utegemezi. Amehimiza kuwa vyanzo vya vya umasikini nchini ni kutokana na watu wengi kutokujishugulisha katika kazi mbalimbali pamoja na kutomia fursa wanazo pata. Alieleza kwa mfano katika semina hiyo iliyo hudhuriwa na wanawake wengi kuliko vijana, hivyo amewahimiza kuwa elimu ya ujasiriamali ndio mkombozi wa watanzania. Afisa maendeleo wa jamii katika halimashauuri ya wilaya Longido Bi. Grace amewaasa wanawake na vijana kuwa na vikundi vilivyo sajiliwa na vinavyo tmbulika katika halimashauri pia wawe na shughuli maalumu ya kufanya, ndipo watakapo weza kupatamikopo ya serikali alieeleza kuwa aliona uhitaji wa jamii ya longido juu ya ujasiriamali ndipo alipo mualika Isaac kuweza kuja kutoa elimu hii ya ujasiriamali. Aliwaambia wana Longido kuwa kama elimu hii imeonekana kuwa na manufaa kwenu basi tutapeleka hata vijiji vingine ndani ya wilaya yetu ya Longido,ili wana Longido kuweza kujipatia fursa mbalimbali za kimaendeeleo kupitia masomo hayo.semina hiyo imehudhuriwa na watu 200 kwa makadirio ya siku zote za semina, ndani ya kata ya Longido.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.