• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

MAAFISA LISHE WAPEWA ELIMU YA LISHE BORA

Posted on: August 13th, 2019


Taasisi ya chakula na lishe Tanzania ( TCLT), imeendesha semina ya lishe  iliyo fanyika tarehe 13 na 14,agosti 2019, katika ukumbi wa OCD Longido,iliyo hudhuriwa na wadau wa afya na lishe  wilaya, ikiongozwa na afisa lishe wilaya,wawezeshaji wakiwa ni, Bi.Maria Ngilisho afisa lishe mtafiti mwandamizi taasisi ya chakula na lishe Tanzania (TCLT) pamoja na Prosper Mushi afisa lishe mkoa, wataalamu hawa wamezungumzia  zaidi jinsi gani lishe ilivyo bora kwa maisha ya kila mtu. Ameeleza kuwa lishe ni mchakato wa chakula mwilini. Pia katika majadiliano ya wataalamu hao wamesema kuwa ili kuwa na afya bora ni vyema kuzingatia makundi tano  ya chakula zinazo weza kumsaidia mwanadamu kuwa na afya bora. Makundi hayo ni; vyakula vya asili yaani nafaka, asili ya wanyama, matunda, mbogamboga na mafuta kama vile karanga,korosho, muwezeshaji wa mada Bi.Ngilisho amesema kuwa katika mazingira yoyote kuna uwezekano wa watu kupata lishe bora kwani ukipika chakula kimoja huchukua karibu aina zote za makundi, hivyo ni vyema jamii kutambua namna ya kupata lishe bora ili kuepukana na madhara mbalimbali kama vile utapiamlo, ameeleza jinsi gani sekta ya lishe inavyo weza kuwiana na sekta zingine kama  vile kilimo, mipango, maendeleo ya jamii, elimu, maji na mazingira n.k. pia Bi. Ngilisho ameeleza kuwa ukosefu wa elimu bora pamoja na kukumbatia mila na desturi zilizopitwa na wakati katika jamii huweza kupelekea ukosefu wa lishe bora. Katika kutoa mfano halisi mmoja wa jumbe alieleza jinsi gani jamii za kifugaji (maasai) walivyo na desturi na mila potofu juu ya lishe kwa wanawake wajawazito, amesema kuwa kutokana na ukeketaji  wanaofanyiwa wanawake hunyimwa kula vyakula bora, jambo hili hupelekea mtoto kukosa afya toka akiwa tumboni na hata akizaliwa ( siku elfu moja) hivyo hupelekea utapiamlo.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.