• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

MHE. LUHAGA MPINA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI KIWANDA CHA NYAMA NA BWAWA LA KUNYWESHEA NG'OMBE LONGIDO

Posted on: May 11th, 2019

Waziri wa mifugo na uvuvi mhe. Luhaga Mpina amefanya ziara wilayani Longido Mkoani Arusha kukagua bwawa la kunyweshea ng'ombe pamoja na kiwanda cha nyama kiitwachwo elliya food overseas ltd.

Mhe . Mpina akiwa kwenye kiwanda hicho ameipongeza halmashauri ya Longido kwa kuamua kirekebisha majosho tisa na kuwa ahidi kurekebisha majosho mengine 8 yaliyo baki.

Sambamba na hayo mhe mpina ameuhakikishia uongozi wa kiwanda hicho kuwa serikali ya awamu ya ya tano inayo ongozwa na Dkt Magufuli kupitia wiazara yake umeanza kusimamia sheria na kuhakikisha kwamba nchi ya Tanzania haiwezia kugeuzwa kuwa dampo kwa ukiukwaji wa sheria za uingizwaji wa mazao ya mifugo itokayo nje ya nchi.

Kwa upande wake mmoja wa wa kutugenzi wa kiwanda hicho Bw Shabir Virji amesema kiwanda hicho kinatarajiwa kuanza uzalishaji mwezi wa 10 mwaka huu na kwa sasa wako katika hatua za ufungaji wa mashine katika kiwanda hicho.

Naye mmoja kati ya wafugaji katika wilaya ya Longido Bw Olekiande Sadala ameishukuru serikali ya awamu ya tano pamoja na mbunge wa jimbo hilo kwa kuweza kuwaletea kiwanda hicho wilayani humo na kusema sababu kubwa ya utoroshwaji wa mifugo kwenda nchi jirani ni ukosefu wa soko, kiwanda hicho kitaondoa tatizo la utoroshwaji wa mifugo walayani hapo.

Kiwanda hicho cha nyama kitawekewa jiwe la msingi na mbio za mwenge wa uhuru na kuzinduliwa rasmi mwezi wa 10 mwaka huu na kinatarajiwa kutoa ajira kwa watu takribani 200 na kwa siku kitakuwa na uwezo wa kuchinja Ng'ombe 500 pamoja na mbuzi 2000 kwa hatua za awali.

IMETOLEWA NA IDARA YA MAWASILIANO OFISI YA MKUU WA WILAYA YA LONGIDO

TAREHE 11-MAY-2019

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.