• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

MKURUGENZI AFANYA KIKAO NA WATUMISHI WOTE WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO

Posted on: October 10th, 2019

Leo tarehe 10-10-2019 mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Longido Ndugu Jumaa Mhina amefanya kikao cha pamoja na watumishi wote wa halmashauri katika ukumbi wa Mwl.Julius Nyerere.

Kwenye kikao hicho kilichoanza saa 9.00 asubuhi katika ukumbi wa halmashauri Mkurugenzi mtendaji aliwakaribisha watumishi wote wapya na wazamani na kuanza kutoa taarifa zote za kiutendaji ikiwemo elimu,michezo,afya na miradi iliyofanyika kabda na baada ya yeye kuteuliwa kuwa mkurugenzi.

Katika sekta ya elimu na mchezo Mkurugenzi alisema kuwa wilaya yetu kwa sasa imepiga hatua kubwa sana. Inafanya vizuri katika mitihani yote ya wilaya na kitaifa pia imetoa mshindi wa kwanza kitaifa katika uandishi wa insha nchi za SADC pia kuweza kuzipandisha shule ambazo zilikuwa zinafanya vibaya kitaifa.katika michezo inayoshirikisha wanafunzi waliopo mashuleni kitaifa inafanya vizuri.

Katika sekta ya afya wilaya imeweza kusimamia ujenzi wa vituo vya afya ikiwemo Eworendeke na Engarenaibor vilivyogharimu takribani bilioni moja na milioni moja kwa pamoja pia kuendelea kusimamia ujenzi wa hospitali ya wilaya wenye gharamaa ya takribani bilioni moja na milioni mia tano.Pia mkurugenzi alisema Kama wilaya tumepata baharia ya kuwa na zahanati ya kisasa iliyoko Olmoti yenye vifaa vya kisasa kabisa ilijengwa na mfadhiri kwa ajili ya kuwasaidia wananchi walikuwa wanasafiri umbali mrefu kwenda kufuata huduma ya afya.

Pia mkurugenzi alitoa tathmini ya miradi mikakati takribani kumi (10) ikiwemo soko la mazao na mifugo,bwawa la kitalii lenye mita 2000,kiwanda cha nyama,mradi wa nyuki,bwawa la samaki, stendi ya kisasa,ambayo ikikamilika itaingiza kiasi cha shilingi bilioni mia moja (100) kwa mwaka. 

Kwenye kikao hicho alipata nafasi ya kusikiliza na kutolea ufafanuzi wa maswali na kero mbalimbali wanazozipata watumishi wakiwa katika utendaji wao wa kazi wa kila siku. 

Mwisho kabisa mkurugenzi aliwahasa watumishi wote kufanya kazi kwa bidii na maarifa kwa kufuata taratibu na sheria zote za kiutumishi bila kuwepo sababu na visingizio vya namna yoyote kwani ikibainika mtumishi amefanya uzembe basi atachukuliwa hatua stahiki za kiutumishi.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.