• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

MWANAFUNZI LONGIDO SEKONDARI AIBUKA KIDEDEA UANDISHI WA INSHA NCHI ZA SADC.

Posted on: August 30th, 2019

Mwanafunzi  Cynthia John Masuka wa kidato cha sita mchepuo wa (CBN) Longido sekondari amekuwa mshindi wa kwanza Tanzania katika uandishi wa Insha. Uandishi huo wa insha ulio jumisha Nchi kumi na sita za  (SADC) Chini ya mwenyekiti wa SADC ,Rais wa Jamuhuri ya Muangano wa Tanzania John Pombe Magufuli, uandishi huu uliohusiha shule zote Tanzania kuanzia ngazi ya shule za wilaya, mikoa hadi Taifa kwa ujumla, ambapo walipatikana washindi wa tatu (3) kitaifa, walioweza kushiriki na kushinda uandishi wa Insha( SADC), 

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Longido Jumaa Mhina amempongeza mwanafunzi huyo leo hii  tarehe 30/8/2019  wakati walipofika ofisini kwake akiambatana na afisa Elimu Sekondari Mwalimu Gerson Mtera,Mwalimu Mkuu  Daniel Temu na Mwalimu wake wa somo la kiingereza  mwalimu Reachel Boniface. Aliwapongeza wote kwa jitihada wanazozifanya kuhakikisha kuwa wanaitangaza Longido ipasavyo katika sekta ya elimu na kumuahidi mwanafunzi huyo zawadi itakayo tolewa na Halmashauri. 

Pia Mkurugenzi alimshauri mwanafunzi Cynthia John Masuka kufanya bidii katika kukuza kipaji chake cha uandishi kwani kitaweza kumsaidia, na baadae anaweza akawa mwandishi bora wa vitabu mbalimbali, pia alimshauri kutumia mitandao ya kijamii kwa manufaa yake ya kielimu.

Mwanafunzi Cynthia J. Masuka aneleza kuwa alifurahi sana kupata ushindi huo, ambapo alizawadiwa tuzo bora ya uandishi wa Insha na Laptop aina ya HP, zawadi hizo amekabidhiwa na Mwenyekiti wa SADC, Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania John  Pombe MagufuliMwanafunzi Cynthia J. Masuke alishukuru sana Walimu wake na wanafunzi wenzake waliompa ushirikiano katika mafanikio yake.

Cynthia J Masuke, alishauri kuwa wanafunzi wenzake wawe na tabia ya kusoma vitabu mara kwa mara kwani itawasaidia kupata misamiati toshelevu katika kujibu mitihani yao pia kushinda nafasi kama alivyo shinda yeye. Alishauri ushirikiano mzuri baina ya wanafunzi na walimu kuwa ni chanzo cha mafanikio bora kwa mwanafunzi, alisisitiza walimu kuwashauri wanafunzi mara kwa mara ili wafanye vizuri katika masomo yao.

Afisa elimu sekondari Halmashauri ya wilaya Longido,Gerson Mtera alimshukuru Mkurugenzi kwa pongezi, pia alimpongeza mkuu wa shule ya sekondari Longido Daniel Temu pamoja na jopo la walimu wenzake kwa jitihada wanazo fanya kuwafundisha wanafunzi na kuipatia shule yetu jina kubwa kitaifa.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.