• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Mkuu wa Wilaya Longido Mhe.Frank James Mwaisumbe Azindua Kampeni ya Chanjo ya Surua Rubella na Polio

Posted on: October 13th, 2019

Mkuu wa wilaya ya Longido Ndugu Frank James Mwaisumbe leo tarehe 17-10-2019 amezindua kampeni shirikishi ya kitaifa kwa ajili ya chanjo ya SURUA RUBELLA (MR) na POLIO YA SINDANO (IPV) katika kituo cha afya cha Longido itakayowahusisha Watoto wote wenye umri wa miezi 9 hadi 59 chini ya miaka mitano. Kampeni hii ni ya siku tano kuanzia tarehe 17-10-2019 hadi 21-10-2019 katika vituo mbalimbali ndani ya wilaya yetu ya Longido kila siku  kuanzia saa 2.00 asubuhi hadi saa 11.00 jioni.

Katika kampeni hiyo mganga mkuu wa wilaya Dokta Justice Munisi alitoa takwimu ya utoaji chanjo hizi ambapo kitaifa ilianza mwaka 2014 na ilipangwa itakuwa inafanyika kila baada ya miaka minne kwa lengo la kampeni hii ni kuhakikisha Watoto wote wenye umri chini ya miaka mitano wanapata chanjo hii.

Pia Dokta Justice Munisi alisema kuwa kwa mwaka huu 2019 wilaya ya Longido imepanga kuwachanja Watoto 23691 kwa chanjo ya SURUA RUBELLA na 10890 kwa chanjo ya POLIO YA SINDANO.

Mwisho mkuu wa wilaya ndugu Frank Mwaisumbe aliwasisitiza wananchi juu ya umuhimu wa chanjo kwa Watoto wetu mana bila chanjo hata sisi tusingekuwa hapa na kuwahasa kuwa wajumbe hata kwa wazazi ambao hawakuwaleta Watoto hapa leo wawalete ili wapate chanjo mana itakuwa kazi bure kwani lengo ni kila mtoto apate chanjo hii. Pia alisisitiza kuwa chanjo hizi ni bure zinapatikana bila malipo hii inatokana na ulipaji kodi wetu mzuri ndio mana serikali imeamua kutuletea chanjo bure.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.