• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

MWL. NYERERE FOUNDATION YAWEKA KAMBI YA SIKU MBILI WILAYANI LONGIDO WAKIHUBIRI AMANI , UMOJA NA MAENDELEO YA WANANCHI

Posted on: January 16th, 2020

Taasisi ya Mwalimu Nyerere iliweka kambi wilayani Longido kwa siku mbili kwa lengo la kuhamasisha umuhimu wa watanzania kutunza Amani na umoja ambazo ndio nguzo ya maendeleo kama Mwl Nyerere alivoagiza kipindi cha uhai wake na ikiwa ni kazi kubwa ya tasasisi hiyo kuhubiri Amani na umoja Tanzania na hata duniani kote.Mkurugenzi mtendaji wa Mwl.Nyerere foundation , Mzee Joseph Butiku alieleza kwa undani na mapana zaidi Nafasi ya viongozi wa ngazi ya serikali za mitaa katika kusimamia katiba , na kuawaeleza viongozi hao ambao ni wenyeviti wa vijiji na watendaji wa kata kua wananchi wanapaswa kusimamiwa kwa mujibu wa katiba na sheria zilizowekwa ili kuepuka migogoro na wananchi na pia viongozi hao wasisite kuwaelimisha wanannchi wao kuhusu umuhimu wa amani katika jamii ili kuwa na jamii salama na yenye kufanya kazi kwa juhudi ili iweze kujipatia maendeleo.

Mzee Gallus Abedi msaidizi maalum wa Mkurugenzi wa Tasisi ya Mwalimu Nyerere pia alizungumzia  juu  ya  namna uongozi wa kijiji , kata , wilaya  , mila na vikundi mbalimbali wanavyopaswa kusimamia Amani , Umoja na Maendeleo ya wananchi akisema kua viongozi wanapaswa kua mstari wa mbele  kuzungumza  habari  ya  Amani  kila wanapokutana  na  wananchi  kwani Amani na umoja wa wananchi hao utawapa nafasi ya kufanya kazi kwa pamoja na ushirikiano hivyo watakua na nafasi ya kuendelea, Mzee Abedi pia alisisitiza kua viongozi hao wanapaswa kulinda rasilimali zilizopo na kuzisimamia kikamilifu  rasilimali hizo kama ardhi ili kuepusha migogoro itakayochochea upotevu wa amani katika jamii wanazo zisimamia kama viongozi.   Mwisho wazee  hawa  kutoka Taasisi ya mwalimu Nyerere walishauri  serikali  hasa  Halmashauri ya Wilaya ya Longido  kushuhulikia  mambo yanayowahusu Wananchi wa Wilaya hiyo bila kuchelewa  hasa  mambo yanayohusu mipaka na umiliki wa ardhi ili kuepusha upotevu wa Amani kwenye jamii ya watu wa Longido. Ikiwa kama dhumuni la taasisi hiyo kuhubiri Amani, umoja na maendeleo ya wananchi , Uongozi wa wilaya ya longido uliwashukuru Taasisi hiyo na kuahidi kufanyia kazi ushauri na maelekezo ya wazee hao wa Taifa la Tanzania na Taasisi ya Mwl .Nyerere.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.