• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

SHEREHE YA MAHAFALI YA KUWAAGA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI KITUMBEINI

Posted on: August 30th, 2017

NA.Johnson Ismail.

        Shule ya Msingi Kitumbeini Imefanya Mahafali ya Kuwaaga Wanafunzi wa darasa la Saba wanao tarajia kufanya Mtihani wao Wiki ijayo tarehe 4 na kuhitimisha tarehe7 mwezi wa 9 Mahafali hayo yaliyo hudhuriwa na Viongozi wa Halmashauri, Dini, Kata, Vijiji, Vitongoji, Walimu ktoka shule mbalimbali za wilaya,Wazazi na Wageni wengine wengi  kwaajili ya kuwaaga wanafunzi hao.

       Hata hivyo  Mgeni Rasmi aliye hudhuria kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Longido Mwl.Gerson Mtera Ambaye ni Afisa Elimu Sekondari wa Halmashauri ya W/Longido.  Alianza Hotuba yake kwa kuwashukuru watu wote walio hudhuria wakiwemo World Vision wasaidizi wa kubwa wa maendeleo ya shule Wanafunzi wanao hitimuwazazi kwa walimu wote.

      Aidha Mwl,Mtera  Alitoa Wito kwa Wazazi kugharamikia mambo ya Msingi kama Sare,Matibabu,na kuhakikisha wanachangia katika kuboresha Miundo mbinu naAliwasisitiza Wanafunzi na Wazazi kuhusiana na umuhimu wa elimu na Kuachana na Ujinga wa ktosoma,Utoro ama kutosomesha watoto kwasababu ya shughuli za ufugaji, kushurutisha watoto kuto kukufanya vizuri darasani ili kuoana ,pia Swala la mimba ambalo hawata fumbia macho na kuwa taka wanafunzi kuzingatia swala la Elimu tu na si maswala mengine.

       Hata hivyo nae Afisa Elimu Taaluma wa Halmashauri alizungumzia Swala la Ufaulu mzuri wa wanafunzi wa Kitumbeini kuanzia Mwaka 2014 hadi Mwaka jana ambapo mwaka jana shule ili weza kuwa ya kwanza Kiwilaya na Kimkoa na kuwaasa kuwa makini katika ujazaji wao wa Mitihani Kwana kushuka kwa Ufaulu kuna letwa na wao wenyewe pia kupanda kwa ufaulu kunachangiwa na wao wenyewe na kuwaambia ilishule ibaki kuwa na Sifa nzuri ni lazima wajitahidi.

       Pia Mahafali hayo yali hitimishwa na Harambee iliyo fanyika kwaajili ya kupata fedha za ujenzi wa nyumba ya walimu,Harambee hiyo iliyo simamiwa na Mgeni Rasmi ili kusanya kiasi cha Sh; LakiTanoelfu hamsini na Tano na Miatano keshi, na Ahadi Milioni Sita kutoka kwenye vijiji. Mgeni rasmi mwl Mtera alimalizia Harambee kwa kuomba uaminifu katika Ahadi zilizo ahidiwa ili kuendelea kujenga shule zetu.


Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.