• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

TIMU YA WATAALAMU KUTOKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOMBA YAJA KUJIFUNZA HALMASHAURI YA LONGIDO.

Posted on: July 13th, 2020

Timu ya wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Momba  mkoani Songwe leo tarehe 13/07/2020 wametembelea Halmashauri ya Wilaya ya Longido  kujifunza jinsi Halmashauri ilivyoweza kupandisha Mapato ya  Halmashauri kupitia mnada wa Mifugo na vyanzo vingine.

Timu hiyo imeongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo ndugu Adrian J.Jungu aliyeambatana na Afisa Biashara ,Afisa Mipango na Afisa Mifugo wa Halmashauri ya Momba.

Akiongea na ugeni huo Dkt Jumaa Mhina Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Longido amesema miaka minne nyuma Halmashauri ilikuwa inakusanya takribani milioni  540 kwa mwaka kutoka kwenye vyanzo vyake mbalimbali lakini sasa tunakusanya wastani wa  bilioni  2 kwa mwaka ambapo tunaweza kutoa asilimia kumi(10%) ya wanawake ,vijana na walemavu bila shida yoyote pia vikao vya waheshimiwa madiwani  vinakaa kama ratiba inavyosema na tumeweza kuchangia  fedha kwenye miradi ya Maendeleo,Pia tumeweza kupandisha mapato ya serikali kuu kupitia mnada huu wa mifugo wa eworendeke  uliojengwa kwa ufadhili wa Programu ya MIVARF ambapo wizara ya Mifugo wamekusanya  wastani wa bilioni 300 na Halmashauri tumekusanya takribani  bilioni 1.2 kupitia mnada huu toka umeazishwa. 

 Mkurugenzi Mtendaji Dkt Mhina na wataalamu wa Halmashauri ya Longido akiongea na wataalamu kutoka Halmashauri ya Momba eneo la mnada Eworendeke.

Afisa Mifugo wa Halmashauri Ndugu Nestory Dagharo akiwaonyesha wageni hao jinsi mifugo inavyoingia na kutoka kwenye mnada huo

 Pia timu hiyo imeweza kutembelea  kiwanda cha kuchakata nyama kinachojengwa na mwekezaji Elia food overseas,wakiwa kiwandani hapo Dkt Mhina alisema  kiwanda hiki kikikamilika Halmashauri inategemea kupata mapato kutokana na kodi ya huduma na tutaweza kutekeleza Miradi yetu ya Maendeleo lakini pia serikali kuu itapata mapato  alisema Dkt Mhina.

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Momba Ndg  Adrian Jungu amemshukuru Dkt Mhina kwa ziara yao yenye mafanikio makubwa na kusema hakika ni Wilaya ya Mpakani inayofaa kuigwa na Halmashauri  za mpakani.

 




Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.