• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

WADAU WA MAENDELEO WAKAA KIKAO CHA KUJADILI UWEZESHAJI WA KUPATIKANA MAENDELEO YA KASI (W)LONGIDO

Posted on: September 29th, 2017

Na Johnson Ismail

Approved By Joseph  Peter Mkumbwa. ICTO

          Kikao cha kujadili fursa mbalimbali za kuinua na kutumia raslimali zilizopo kwa maendeleo ya wananchi wa Wilaya ya Longido kutoka kwa wadau hao,kikao hicho kimefanyika mapema hii leo katika ukumbi wa Mwalim J.K.Nyerere.

          Kikao hicho kilicho endeshwa na Mkurugenzi Mtendaji Wakili Jumaa Mhina kujadili na kuweka mikakati ya kukabiliana na changamoto zinazo wakabili wananchi wa Wilaya ya Longido yenye Tarafa 4, Kata18, Vijiji49 na Vitongoji 176 Inayo kadiriwa kuwa na Wakazi142,597ya(sensa2017).

          Mkurugenzi Mtendaji Wakili Jumaa Mhina alizungumzia frusa za uwekezaji zilizopo katika Wilaya kuwa ni Eneo lakupaki magari makubwa nje ya mji wa Namanga lenye huduma za chakula na malazi,Viwanda vya kusindika nyama&machinjio yakisasa, Viwanda vya kusindika maziwa na bidha zake,Agriculture produce border market,Petrol stations,Garage kwa ajili ya service za magari.

        Pia Mkurugenzi Wakili Mhina alitoa frusa katika utoaji wa huduma za jamii ambazo ni ujenzi wa hospitali ya wilaya,Ujenzi wa miundo mbinu ya elimu ya sekondari  Madarasa 20 kwa shule 10,nyumba 2 za Waalimu(6 in1),Mabweni 10 kati ya shule5 za sekondari.

         Mkurugenzi Wakili Mhina alielezea changamoto mbalimbali za sekita ya Mifugo,Maendeleo ya jamii,Afya,Kilimo,Maji,Misitu,Biashara,Wanyama pori,Utawala bora,Ushirika na katika idara ya Elimu ya msingi.

         Kikao kilihudhuriwa na wadau mbalimbali wa ndani na nje ya Wilaya,Wadau walio shiriki ni  Maasai primary,Driling water,Trians Tanzania,Muhesi Safari,Sido,L.D.P,UCRT-maisha bora,Heifer international,Madihani,ShirikaLOOCIP,Ujenzi,Chakula cha mifugo,PCI,Childreach(Tz),Pastoral womens council,Kilombero north safaris,Maisha bora,Afya,Anapa,Convois of AOPE,Fees.

          Wadau hao walitoa mapendekezo yakuunda umoja wa wahisani wote wa ndani na nje ya Wilaya pia kutafuta watu wote walio soma katika wilaya ya Longido na kuwa kitu kimoja, kutumia rasili mali zinazo zunguka wilaya kuzibadili kuwa fedha,mawasiliano kuunda groap moja ili kujadili mambo ya maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.