• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

WATENDAJI WA KATA WAPATIWA MAFUNZO YA USAJILI MPYA WA VIKUNDI KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

Posted on: March 25th, 2021

Leo tarehe 25-03-2021 idara ya maendeleo ya jamii iliyochini ya Bi Grace Mghase imeendesha mafunzo kwa watendaji wa kata,walimu wa vikundi na maafisa mbalimbali ngazi ya wilaya kuhusu kutoa mwongozo wa usajili wa vikundi na jinsi ya kuandaa katiba ya vikundi vya kijamii vya huduma ndogo za fedha.

Kaimu mkurugenzi ndugu Joseph Logolie alifungua mafunzo hayo kwa kuwapongeza kuhudhuria kwa wakati na kuwataka wajumbe wote kushiriki mafunzo hayo kwa kusikiliza mada zote zinazotolewa na wawezeshaji ili kuhakikisha zoezi linakamilika kwa wakati.

Wawezeshaji kwenye mafuzo hayo ndugu Evans,Betty na Abunuas walitoa taratibu na kanuni mpya ya usajili wa vikundi vya kijamii vya huduma ndogo za fedha ambao kwa sasa usajili wa vikundi vyote vya kifedha utafanyika kwa njia ya mfumo wa kieleckroniki  unaoitwa CMG Online Registration System unaopatikana kupitia link ifuatayo https://Cmg.bot.go.tz/cmg-portal.

Kwenye mafunzo hayo yaliyohudhuriwa na wadau mbalimbali kama Pastorial Women Council (PWC) inayojihusisha na kuwawezesha na kuwatambua wanawake waliokwenye jamii za kifugaji kuwainua na kuwakomboa kiuchumi kupitia miradi mbalimbali. Pia benki ya NMB nao walikuwepo kutoa mada fupi juu ya taratibu na masharti ya ufunguaji wa akaunti bila ya usumbufu.

Mwisho kabisa mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii Bi.Grace Mghase alifunga mafunzo hayo kwa kutoa mikakati na taratibu rahisi za kuhakikisha usajili unafanyika kwa wakati kwa kuwataka kwanza watendaji wanahakikisha wanawahimiza viongozi wote wa vikundi wanaandaa viambata vyote vinavyohitajika ili usajili ukamilike pia kuwataka watendaji na walimu wa vikundi kuhakikisha elimu hii waliyoipata wanaipeleka kwa wanachama wote kwenye vikundi vyao.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.