• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: June 29th, 2018

Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango , halmashauri ya Longido imefanya ziara ya kukagua Miradi ya maendeleo kwa kipindi cha robo ya nne cha April-June, kwa mwaka wa fedha 2017/18.

Ziara hiyo ni ya kisheria yenye lengo la kukagua na kujionea utekelezaji wa shughuli za miradi ya maendeleo katika maeneo ya vijiji na kata ndani ya halmashauri.

Jumla ya miradi mbalimbali 18 kwenye sekta ya Elimu, Afya ,Maji na Mifugo imetembelewa ikiwa ni pamoja na mradi wa ujenzi na maabara za science shule ya sekondari kitumbeine,ujenzi wa nyumba ya watumishi na madarasa matatu shule ya msingi kitumbeine,ujenzi wa kituo cha afya kitumbeine, ujenzi wa maabara za science na madarasa mawili shule ya sekondari Engarenaibor ,Ghala la kuhifadhia chakula, Maabara ya mifugo na ujenzi wa Kituo cha afya Engarenaibor na ujenzi wa shule ya sekondari Matale, ujenzi wa wodi ya wazazi kituo cha afya ngereyani na bweni la wanafunzi shule ya msingi ngereyani, mradi wa maji wa mto simba, ujenzi wa nyumba ya mtumishi shule ya msingi elerai,ujenzi wa mabweni mawili shule ya sekondari Enduimet, ujenzi wa ghala la mazao sinya na bweni na nyumba ya watumishi shule ya msingi sinya Ujenzi wa jengo la XRAY kituo cha afya Longido,jengo la jenereta na ukaguzi wa jenereta kituo cha afya Longido, ujenzi wa kituo cha afya Eworendeke, ukarabati wa Tanki la maji Namanga, ujenzi wa kiwanda cha nyama Eworendeke,mnada wa mifugo wa Eworendeke na tanki la maji Orbomba.

Hata hivyo wajumbe wa kamati hiyo ya fedha wametoa ushauri na maagizo mbalimbali lakini pia  wameendele kuridhishwa na utekelezaji wa miradi hiyo huku wakiwapongeza wataalam na wananchi kwa kujitoa kwa hali na mali wakati wa utekelezaji wa miradi katika maeneo yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.