• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: June 29th, 2018

Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango , halmashauri ya Longido imefanya ziara ya kukagua Miradi ya maendeleo kwa kipindi cha robo ya nne cha April-June, kwa mwaka wa fedha 2017/18.

Ziara hiyo ni ya kisheria yenye lengo la kukagua na kujionea utekelezaji wa shughuli za miradi ya maendeleo katika maeneo ya vijiji na kata ndani ya halmashauri.

Jumla ya miradi mbalimbali 18 kwenye sekta ya Elimu, Afya ,Maji na Mifugo imetembelewa ikiwa ni pamoja na mradi wa ujenzi na maabara za science shule ya sekondari kitumbeine,ujenzi wa nyumba ya watumishi na madarasa matatu shule ya msingi kitumbeine,ujenzi wa kituo cha afya kitumbeine, ujenzi wa maabara za science na madarasa mawili shule ya sekondari Engarenaibor ,Ghala la kuhifadhia chakula, Maabara ya mifugo na ujenzi wa Kituo cha afya Engarenaibor na ujenzi wa shule ya sekondari Matale, ujenzi wa wodi ya wazazi kituo cha afya ngereyani na bweni la wanafunzi shule ya msingi ngereyani, mradi wa maji wa mto simba, ujenzi wa nyumba ya mtumishi shule ya msingi elerai,ujenzi wa mabweni mawili shule ya sekondari Enduimet, ujenzi wa ghala la mazao sinya na bweni na nyumba ya watumishi shule ya msingi sinya Ujenzi wa jengo la XRAY kituo cha afya Longido,jengo la jenereta na ukaguzi wa jenereta kituo cha afya Longido, ujenzi wa kituo cha afya Eworendeke, ukarabati wa Tanki la maji Namanga, ujenzi wa kiwanda cha nyama Eworendeke,mnada wa mifugo wa Eworendeke na tanki la maji Orbomba.

Hata hivyo wajumbe wa kamati hiyo ya fedha wametoa ushauri na maagizo mbalimbali lakini pia  wameendele kuridhishwa na utekelezaji wa miradi hiyo huku wakiwapongeza wataalam na wananchi kwa kujitoa kwa hali na mali wakati wa utekelezaji wa miradi katika maeneo yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM