• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI

Posted on: September 28th, 2017

Na:Saumu Kweka

Approved By Joseph  Peter Mkumbwa. ICTO

      Waheshimiwa wa Kata mbalimbali wa Kamati ya fedha walifanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali iliyo chini ya Halmashauri ili kujiridhisha.

      Waheshimiwa Madiwani hao walitembelea na kukagua miradi inayopatikana maeneo ya Namanga,Kimokouwa,Longido,Tingatinga na Mradi mkubwa wa maji Olmology.

      Miradi hiyo iliyokaguliwa ni Mradi mkubwa wa maji kutoka Mto Simba hadi Longido mjini,Kukamilika ujenzi wa Zahanati ya Kimokouwa ,Ujenzi wa miundombinu ya Mnada wa  MIVARF,Mradi wa ujenzi wa jingo la x-ray  Kituo cha Afya Longido,kutembelea mradi wa maji Tingatinga Ngereyani,na Ujenzi wa nyumba  ya walimu Six in one ,ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa choo cha matundu 8 na choo cha matundu 2 katika shule ya Sekondari Tingatinga.

       Aidha mradi uliokamilika ni Ujenzi wa Zahanati ya Kimokouwa ,ikiwa wa ujenzi wa Jengo la Zahanati,ujenzi wa choo,na uwekaji wa maji,na ujenzi wa Placenta Pit uliotumia jumla ya shilingi 59,131,854..Changamoto iliyopo ni Zahanati kukamilika lakini haina nyumba za Watumishi.

       Baadhi ya miradi ambayo ipo katika  hatua nzuri za ukamilishwaji ni Ujenzi wa programu ya MIVARF,ambapo ni ujenzi wa mazizi ya ng’ombe ,ujenzi wa vyoo  pamoja na jingo la utawala.Mradi huo unagharimu jumla ya shilingi 314,078,944.80 na mpaka sasa Halmashauri imechangia jumla ya shilingi 20,000,000.Mradi mwingine ambao upo kwenye mwendelezo ni Ujenzi wa jingo la x-ray room katika kituo cha Afya Longido.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.