• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Uchumi, Ujenzi na Mazingira

Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira ni Kamati inayoshughulika na masuala ya uzalishaji mali ikiwemo Kilimo, Mifugo, Viwanda, Madini, Biashara pamoja na Miundombinu na suala zima la Maendeleo ya Ardhi na hifadhi ya Mazingira.

 

kupendekeza kwa Halmashauri mipango ya kupanua biashara na jinsi ya kukusanya mapato yatokanayo na upanuzi huo

kupendekeza mipango ya matumizi ya Ardhi katika Halmashauri

kusimamia matumizi ya Sheria ya Nguvu kazi

kuandaa mipango madhubuti ya upanuzi wa Maendeleo ya Kilimo

kusimamia na kuhakiki miradi ya Ujenzi wa masoko, minada, majosho na vituo vya Mifugo

kushughulikia uanzishaji na uendelezaji wa Vyama vya Ushirika

kupendekeza mipango ya Ujenzi au upanuzi wa Vituo, viwanja, majengo na Mazingira ya burudani, starehe, mapumziko na michezo

kuamua juu ya mambo yanayohusu uhifadhi wa mambo ya kale na mandhari mbalimbali zenye sura nzuri

kuandaa na kuratibu njia bora juu ya uhifadhi wa Nyaraka muhimu kwa ajili ya Kumbukumbu kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287

kupendekeza namna bora ya malezi ya Vijana ili waweze kuwa wazalishaji katika Taifa

kusimamia uanzishaji wa uendelezaji wa Vikundi vya Jamii na vya hiari vya wananchi katika Halmashauri kwa mujibu wa Sera ya Maendeleo ya Jamii

kusimamia na kuhakiki maeneo ya Misitu, Mapori na Mbuga zilizotengwa kama Hifadhi ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa

kupendekeza na kufanya tathmini ya uendelezaji wa mabonde, mito na mabwawa

kubuni na kupendekeza namna ya kudhibiti Moto

kubuni na kupendekeza mikakati ya utumiaji wa Nishati mbadala, kuzuia ukataji wa Miti ovyo na kuhimiza upandaji miti kwa wingi

kuhakikisha kwamba Ukaguzi wa Majengo unafanyika mara kwa mara

kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii

 

 

WAJUMBE WA KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018

NA

JINA

KATA

CHAMA

1
MHE. PETER LEKANETI 
TINGATINGA - MWENYEKITI
CCM
2
MHE. SABORE K. MOLLOIMET
MWENYEKITI WA HALMASHAURI
CCM
3
MHE. DR STEPHEN KIRUSWA
MBUNGE
CCM
4
MHE. WITNESS ISACK
VITI MAALUM – TINGATINGA
CCM
5
MHE. HASSAN NGOMA
NAMANGA
CUF
6
MHE. JAMES K. KUKAN
MATALE
CCM
7
MHE. NAOMI E. MOLLEL
VITI MAALUM – LONGIDO
CHADEMA
8
MHE. SANO OLTUS
ILORIENITO
CCM
9
MHE. LODUPA S. LAITAYOK
KIMOKOUWA
CHADEMA
10
MHE. MOTIKA KASOSI
ORBOMBA
CCM

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 08, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA ( LINARUDIWA ) October 10, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA October 19, 2024
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA LONGIDO AWATAKIA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA KILA LAHERI KWENYE MITIHANI YAO

    September 09, 2025
  • HUDUMA ZA UPASUAJI ZAANZA RASMI KITUO CHA AFYA EWORENDEKE - LONGIDO

    September 06, 2025
  • HUDUMA ZA UPASUAJI ZAANZA RASMI KITUO CHA AFYA EWORENDEKE - LONGIDO

    September 06, 2025
  • RC ARUSHA ATOA WITO WA AMANI NA UTULIVU LONGIDO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    September 04, 2025
  • View All

Video

PWC YATOA MSAADA KWA MASHIRIKA MADOGO LONGIDO KUKABILI MABADILIKO YA TABIA NCHI
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.