• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MHE. LUHAGA MPINA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI KIWANDA CHA NYAMA NA BWAWA LA KUNYWESHEA NG'OMBE LONGIDO

Posted on: May 11th, 2019

Waziri wa mifugo na uvuvi mhe. Luhaga Mpina amefanya ziara wilayani Longido Mkoani Arusha kukagua bwawa la kunyweshea ng'ombe pamoja na kiwanda cha nyama kiitwachwo elliya food overseas ltd.

Mhe . Mpina akiwa kwenye kiwanda hicho ameipongeza halmashauri ya Longido kwa kuamua kirekebisha majosho tisa na kuwa ahidi kurekebisha majosho mengine 8 yaliyo baki.

Sambamba na hayo mhe mpina ameuhakikishia uongozi wa kiwanda hicho kuwa serikali ya awamu ya ya tano inayo ongozwa na Dkt Magufuli kupitia wiazara yake umeanza kusimamia sheria na kuhakikisha kwamba nchi ya Tanzania haiwezia kugeuzwa kuwa dampo kwa ukiukwaji wa sheria za uingizwaji wa mazao ya mifugo itokayo nje ya nchi.

Kwa upande wake mmoja wa wa kutugenzi wa kiwanda hicho Bw Shabir Virji amesema kiwanda hicho kinatarajiwa kuanza uzalishaji mwezi wa 10 mwaka huu na kwa sasa wako katika hatua za ufungaji wa mashine katika kiwanda hicho.

Naye mmoja kati ya wafugaji katika wilaya ya Longido Bw Olekiande Sadala ameishukuru serikali ya awamu ya tano pamoja na mbunge wa jimbo hilo kwa kuweza kuwaletea kiwanda hicho wilayani humo na kusema sababu kubwa ya utoroshwaji wa mifugo kwenda nchi jirani ni ukosefu wa soko, kiwanda hicho kitaondoa tatizo la utoroshwaji wa mifugo walayani hapo.

Kiwanda hicho cha nyama kitawekewa jiwe la msingi na mbio za mwenge wa uhuru na kuzinduliwa rasmi mwezi wa 10 mwaka huu na kinatarajiwa kutoa ajira kwa watu takribani 200 na kwa siku kitakuwa na uwezo wa kuchinja Ng'ombe 500 pamoja na mbuzi 2000 kwa hatua za awali.

IMETOLEWA NA IDARA YA MAWASILIANO OFISI YA MKUU WA WILAYA YA LONGIDO

TAREHE 11-MAY-2019

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • LONGIDO YAAGA MADIWANI WAKE KWA HESHIMA, YASIFIA UONGOZI WAO WA HEKIMA NA BUSARA

    June 20, 2025
  • LONGIDO YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    June 17, 2025
  • LONGIDO YATOA VIPAJI KUUNDA TIMU YA MKOA KWENYE MASHINDANO YA UMISSETA

    June 06, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAPELEKA TIMU YA UMITASHUMTA KATIKA MASHINDANO YA MKOA ARUSHA 2025

    May 28, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM