Katika Utumishi wa Umma, makosa ya kinidhamu hushughulikiwa kwa kufuata taratibu maalum zilizowekwa kwa mujibu wa Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2003 (kama zilivyofanyiwa marekebisho), kwa lengo la kuhakikisha nidhamu, uwajibikaji na uadilifu kazini vinaimarika.
Kwa mwaka wa fedha 2024/2025, zipo aina mbili kuu za usimamizi wa mashauri ya kinidhamu kwa watumishi wa umma:
Arusha- Namanga Road, Longido Town
Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha
Telephone: 027-2539603
Mobile: 0756395889
Email: ded@longidodc.go.tz
Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.