• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Utaratibu wa Ajira Mpya

Suala la ajira mpya katika Utumishi wa Umma hufuata misingi ya mahitaji halisi ya rasilimali watu na upatikanaji wa rasilimali fedha. Ajira mpya haziwezi kufanyika pasipo kuwepo kwa uhitaji ulioainishwa rasmi pamoja na bajeti iliyoidhinishwa (Ikama).

✅ Mambo Muhimu ya Kuzingatia:

  1. Mahitaji Halisi ya Mtumishi Mpya:
    Mwajiri anawajibika kubaini maeneo yenye upungufu wa watumishi kwa kuzingatia ufanisi wa utoaji huduma. Uhitaji huu huainishwa katika mipango ya rasilimali watu ya taasisi husika.

  2. Upangaji wa Bajeti (Ikama):
    Kabla ya kujaza nafasi yoyote mpya, taasisi lazima itenge fedha kwenye bajeti kwa ajili ya kugharamia mishahara na stahiki nyingine za mtumishi atakayejiriwa.

  3. Jukumu la Mwajiri:
    Ni wajibu wa mwajiri kutathmini na kuwasilisha taarifa ya uhitaji wa watumishi kwenye ngazi husika kwa ajili ya kuridhiwa na kuidhinishwa, sambamba na kuandaa bajeti ya ajira hizo.(OFISI YA RAISI MENEJIMENTI YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA )

  4. Upatikanaji wa Kibali cha Ajira:
    Kama ilivyo kwa ajira mbadala, ajira mpya pia haziruhusiwi bila kupata kibali cha ajira kutoka kwa mamlaka husika. Kibali hiki hutolewa kwa kuzingatia:

    • Sera ya Menejimenti na Ajira ya Mwaka 1999

    • Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002, pamoja na marekebisho yake Na. 17 ya mwaka 2007

  5. Uzingatiaji wa Taratibu za Ajira:
    Taratibu zote za ajira ni lazima zizingatie sheria, kanuni, miongozo na taratibu za ajira za umma, ikiwa ni pamoja na uwazi, ushindani wa haki, na vigezo vya sifa za nafasi husika.


Tembelea Tovuti: 

https://portal.ajira.go.tz/

KWA MAWASILANO ZAIDI TUPIGIE

0717022718 Afisa Utumishi wilaya ya Longido.


Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.