• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

MATUKIO KATIKA PICHA SIKU YA PILI YA MAFUNZO YA WWF KWA VIONGOZI WA DINI, VIJIJI NA VIONGOZI WA KIMILA KUHUSU UHIFADHI WA MAZINGIRA LONGIDO

Posted on: October 16th, 2025


Mratibu wa Mradi wa Faith4Restoration uliopo chini ya Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira na Wanyamapori (WWF) Kutoka Ofisi ya Arusha Jane Shuma akizungumza katika siku ya pili ya mafunzo kwa Viongozi wa Dini, Vijiji na viongozi wa Kimila kuhusu Sera mbalimbali za utunzaji wa mazingira wilayani Longido yaliyoandaliwa na Shirika hilo chini ya Mradi huo unaotekelezwa kwenye Vijiji vitatu ambavyo ni Orbomba, Kimokouwa na Eworendeke.

Meneja wa Wakala wa Huduma za Maji Vijijini (RUWASA) Wilaya ya Longido Eng. Petro Ngerere  akiwasilisha Mada kuhusu Sera ya Maji Vijijini katika siku ya pili ya mafunzo kwa Viongozi wa Dini, Vijiji na viongozi wa Kimila kuhusu Sera mbalimbali za utunzaji wa mazingira wilayani Longido yaliyoandaliwa na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira na Wanyamapori (WWF) chini ya Mradi wake wa Faith4Restoration unaotekelezwa kwenye Vijiji vitatu ambavyo ni Orbomba, Kimokouwa na Eworendeke.

Afisa Mifugo Msaidizi Wilaya ya Longido Wilson Kavishe akiwasilisha mada kuhusu Nyanda za Malisho katika siku ya pili ya mafunzo kwa Viongozi wa Dini, Vijiji na Viongozi wa Kimila kuhusu Sera mbalimbali za utunzaji wa mazingira wilayani Longido yaliyoandaliwa na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira na Wanyamapori (WWF) chini ya Mradi wake wa Faith4Restoration unaotekelezwa kwenye Vijiji vitatu ambavyo ni Orbomba, Kimokouwa na Eworendeke.

Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Arusha (AUWASA) Kurwa Ramadhan akitoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali kuhusu hali ya huduma ya maji Wilaya ya Longido katika siku ya pili ya mafunzo kwa Viongozi wa Dini, Vijiji na viongozi wa Kimila kuhusu Sera mbalimbali za utunzaji wa mazingira wilayani humo yaliyoandaliwa na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira na Wanyamapori (WWF) chini ya Mradi wake wa Faith4Restoration unaotekelezwa kwenye Vijiji vitatu ambavyo ni Orbomba, Kimokouwa na Eworendeke.

Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Longido Paulo Ndaki akiwasilisha mada kuhusu Umuhimu wa Utunzaji wa Mazingira ili kuleta Maendeleo Bora katika Jamii, katika siku ya pili ya mafunzo kwa Viongozi wa Dini, Vijiji na Viongozi wa Kimila kuhusu Sera mbalimbali za utunzaji wa mazingira wilayani Longido yaliyoandaliwa na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira na Wanyamapori (WWF) chini ya Mradi wake wa Faith4Restoration unaotekelezwa kwenye Vijiji vitatu ambavyo ni Orbomba, Kimokouwa na Eworendeke.

Mwinjilisti wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)-Longido Elizabeth Laizer akiwasilisha mada ya namna Bibilia inavyoeleza kuhusu utunzaji wa mazingira katika siku ya pili ya mafunzo kwa Viongozi wa Dini, Vijiji na viongozi wa Kimila kuhusu Sera mbalimbali za utunzaji wa mazingira wilayani Longido yaliyoandaliwa na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira na Wanyamapori (WWF) chini ya Mradi wake wa Faith4Restoration unaotekelezwa kwenye Vijiji vitatu ambavyo ni Orbomba, Kimokouwa na Eworendeke.

Mtafiti wa Kilimo kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) Richard Temba akiwasilisha mada kuhusu Uhifadhi wa Udongo katika siku ya pili ya mafunzo kwa Viongozi wa Dini, Vijiji na viongozi wa Kimila kuhusu Sera mbalimbali za utunzaji wa mazingira wilayani Longido yaliyoandaliwa na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira na Wanyamapori (WWF) chini ya Mradi wake wa Faith4Restoration unaotekelezwa kwenye Vijiji vitatu ambavyo ni Orbomba, Kimokouwa na Eworendeke.








Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO September 04, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MATUKIO KATIKA PICHA SIKU YA PILI YA MAFUNZO YA WWF KWA VIONGOZI WA DINI, VIJIJI NA VIONGOZI WA KIMILA KUHUSU UHIFADHI WA MAZINGIRA LONGIDO

    October 16, 2025
  • WWF YAWANOA VIONGOZI WA DINI, VIJIJI NA VIONGOZI WA KIMILA KUHUSU SERA YA UTUNZAJI MAZINGIRA LONGIDO

    October 15, 2025
  • COMPASSION NA SERIKALI WAUNGANA KUMWEZESHA MTOTO WA KIKE NAMANGA

    October 13, 2025
  • SHULE YA SEKONDARI NATRON FLAMINGO'S YAUNGA MKONO MATUMIZI NISHATI SAFI YA KUPIKIA, YAFUNGA MFUMO WA GESI

    October 14, 2025
  • View All

Video

KARIBU LONGIDO LANGO LA UTALII
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.