• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Baraza la madiwani laitaka TARURA kufanya ukarabati wa barabara za Halmashauri

Posted on: May 2nd, 2018

Baraza la madiwani la halmashauri ya Longido limeitaka TARURA kurekebisha miundombinu ya barabara iliyoharibiwa vibaya na mvua za masika zinazoendelea kunyesha.


Hayo yamesemwa leo  tarehe 2/5/2018 na baraza hilo wakati wa uwasilishaji wa taarifa za kata kwa robo ya tatu kuanzia  januari mpaka machi 2018 mkutano  huo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa halmashauri.


       Aidha madiwani wa kata 17 wamepata fursa ya kuwasilisha taarifa za kata zao huku taarifa hizo zikionyesha shughuli  mbalimbali za maendeleo katika kata, Elimu,Afya, Maji, Miundombinu ya barabara, pamoja na taarifa za ulinzi na usalama na changamoto mbalimbali.


Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji Ndg.Jumaa Mhina akichangia katika baraza hilo alisema kuwa,Halmashauri imepewa jukum la kuibua barabara na kuhoji kiwango cha ubora wake na TARURA ndio wenye mamlaka ya kuamua namna ujenzi huo utakavyoendelea.


Naye katibu tawala wilaya ndg.Toba Nguvila akichangia changamoto kubwa ya uharibifu wa miundombinu iliyowasilishwa na wajumbe wa baraza, alisema, TARURA ni taasisi ambayo ipo chini ya Mkuu wa Wilaya na kwa sasa inafanya kazi kwa bajeti  ya 2017/2018 hivyo basi kama Uongozi wa Wilaya watajitahidi waweke mahusiano mazuri kati ya TARURA na Halmashauri.


Mwenyekiti wa Halmashauri Mh. Sabore Molloimet aliitimisha mkutano huo kwa kusema taatifa hizo zimepokelewa na hivyo kusimamiwa katika suala zima la utekelezaji.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.