• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

CHAMA CHA USHIRIKA KIMANA NA UMOJA WA MADEREVA WA MAGARI YA NOAH WILAYA YA LONGIDO YATOA MAFUTA YA DIZEL LITA 250 KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUKABILIANA NA COVID-19

Posted on: April 17th, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Longido Mh. Frank Mwaisumbe leo tarehe 17.04 .2020 amepokea msaada wa mafuta ya diesel lita 250 yenyewe thamani ya Tshs 530,000/= kutoka kwa Chama cha Ushirika cha Usafirishaji  cha KIMANA na Umoja wa Madereva wa magari ya abiria aina ya Noah zinazofanya Safari kati ya Namanga na Arusha. Mafuta hayo yametolewa ikiwa ni kuunga mkono juhudi za Serikali katika Wilaya ya Longido kukabiliana na kuenea kwa virusi vya COVID -19 na yatatumika kwa ajili ya kuwezesha utoaji wa Elimu kwa Umma zoezi litakaloendeshwa na Halmashauri ya Wilaya ya Longido.

 Akipokea msaada huo katika Ofisi za Mkuu wa Wilaya Longido Mhe Mwaisumbe aliupongeza umoja huo kwa kutambua juhudi za Serikali na kuwataka kuendelea kushirikiana na Serikali katika kuhakikisha janga la corona linatokomezwa. Alisema sekta ya usafirishaji ina jukumu muhimu ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wasafiri wananawa mikono kabla ya kupanda magari na kutoa taarifa kwa mamlaka husika pale watakapoona kuna mtu mwenye dalili za ugonjwa huo. Pia aliwataka kutoa ushirikiano kwa kuwaripoti kwenye mamlaka husika wasafiri ambao wanatumia njia zisizo rasmi katika mpaka wa Namanga kuingia Nchini bila kupimwa Afya zao hivyo kutishia kuongezeka kwa maambukizi na wahamiaji haramu. Pamoja na hayo Mhe Mwaisumbe alitoa wito kwa wadau wengine na wananchi kwa ujumla kuendelea kutoa michango kwa Mfuko wa Maafa wa Taifa ili kuwezesha Serikali kukabiliana na corona.



Makabidhiano hayo yalishuhudiwa na baadhi ya wajumbe wa KIMANA SACCOS wakiongozwa na Mwenyekiti wao Ndg Rashid Masoud na Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji iliwakilishwa na Ndg Edward Kasiga na Afisa Ushirika Ndg Gabriel Mambo

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.