• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

DC LONGIDO AZINDUA ZOEZI LA UMEZESHWAJI DAWA KINGA TIBA KWA WATOTO WENYE UMRI KUANZIA MIAKA MITANO HADI KUMI NA NNE WILAYANI LONGIDO

Posted on: February 29th, 2024

Akizindua zoezi Mheshimiwa Ng'umbi ameitaka jamii kuto kupuuza kwa baadhi ya  magonjwa na badala yake kuwa makini na magonjwa yote yanayoambukiza na yasio ambukiza.

Zoezi hili la umezeshwaji wa dawa za magonjwa ya Minyoo ya tumbo na kichocho linataraji kuwafikia watoto wasiopungua elfu 35,609 wa Wilaya ya Longido Kuanzia miaka mitano hadi 14. Zoezi linataraji kufanyika katika shule 70 za Wilaya ya Longido na vituo teule 9.

Mheshimiwa Ng'umbi amefungua zoezi hili leo tarehe 29/02 /2024 katika shule ya Msingi Longido ambapo watoto zaidi ya elfu elfu 1, 264 katika shule hiyo wamepatiwa dawa hizo kwa ajili ya Minyoo ya tumbo na Kichocho.

Mheshimiwa Ng'umbi amewataka wawezeshaji wa zoezi hilo la ugawaji wa dawa kuwafikia watoto wote waliopo katika kata zote na vitungoji vyake vilivyopo Wilayani Longido"Niwaombe wawezeshaji na waendashaji wa zoezi hili kuwafikia watoto wote hata wale waliopo majumbani ambao hawajaenda shule ili na wao wapatiwe tiba hii ya kujikinga na magonjwa hayo"Alisema Mheshimiwa Ng'umbi.

Zoezi la umezeshwaji wa dawa hizi za Kinga tiba ni zoezi la siku mbili Ambapo linataraji kufika ukomo tarehe 29/02/2024.

Jamii inaaswa kuhakikisha watoto wote wanapatiwa dawa hizo kwani  hazina madhara yoyote kwa watoto badala yake ni Kinga ya magonjwa hayo ya Minyoo ya tumbo na Kichocho.

Nae Daktari Mathew Majani ameishukuru Serikali ya awamu ya sita kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wadau Kutoka RTI kwa kuwezesha upatikanaji wa dawa hizo za kinga Tiba.


Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.