• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YAFANIKIWA KUDHIBITI UGONJWA WA KIMETA(ANTHROUX)

Posted on: March 8th, 2019

 Asilimia 95%  ya wananchi wa wilaya ya longido ni wafugaji wa ngombe ,mbuzi,kondoo na punda,mbwa,ngamia,kuku na nguruwe.

Idadi ya mifugo katika wilaya ya Longido ni Ng’ombe 216,575, Mbuzi 399,754, kondoo 301,211 na punda  7,14,Ngamia 240,mbwa 15,032 na Nguruwe 965.

Katika kuuthibiti ugonjwa wa kimeta(anthroux) ambao umebainika kuwepo mnamo tarehe 25/01.2019 baada ya kupokea taarifa ya kifo cha mwanafunzi wa darasa la tatu mwenye umri wa miaka 11 kilichotekea baada ya kula nyama ya ngombe aliyekufa akisadikika kuwa na ugonjwa wa kimeta,baada ya uchunguzi iligundulika ni kweli ngombe huyo alikuwa na kimeta . 

Tarehe 28/02/2019 Serikali  makini ya awamu ya tano chini ya uongozi wa Rais John Pombe Magufuli kupitia Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Profesa Elisante Ole Gabriel ilitoa kwa Halmashauri  dose 35,000 za chanjo ya kimeta, ambazo aliagiza kuwa zitolewe bure ambapo kila ng’ombe atakaye chanjwa alipiwe Tshs. 200/=@ badala ya 400/=@ inayotozwa sasa na Tshs. 100/=@ kwa kila mbuzi/kondoo atakaye chanjwa badala ya Tshs. 300/= inayotozwa sasa kwa mbuzi/kondoo kwa sasa. Aidha alielekeza chanjo hizo zitumike bila kuathiri mpango wa uchanjaji wa Wilaya uliowekwa.

  Vilevile  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido alitoa pesa za kununua chanjo za ugonjwa huo, ambazo ni chupa 100 sawa na dozi 10,000 yenye thamani ya Tshs. 2,000,000/= (Revolving money). Lengo ikiwa ni kuchanja mifugo yote ya Wilaya nzima. Chanjo hiyo tumeshaanza kuitumia kuchanja mifugo kwa bei ya Tsh. 400/= kwa ng’ombe na mbuzi/kondoo  Tshs. 300/=. Halmashauri imeweza kununua vitendea kazi ili kurahisisha uchanjaji wa ugonjwa wa kimeta mapema na kwa wakati.

 Hadi kufikia tarehe 05/03/2019 jumla ya ng’ombe 4850 na mbuzi/kondoo 5785 walishachanjwa katika vijiji vya Tingatinga, Ngereyani na Orbomba na zoezi hili ni endelevu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM