• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

HALMASHAURI YAFANIKIWA KUDHIBITI UGONJWA WA KIMETA(ANTHROUX)

Posted on: March 8th, 2019

 Asilimia 95%  ya wananchi wa wilaya ya longido ni wafugaji wa ngombe ,mbuzi,kondoo na punda,mbwa,ngamia,kuku na nguruwe.

Idadi ya mifugo katika wilaya ya Longido ni Ng’ombe 216,575, Mbuzi 399,754, kondoo 301,211 na punda  7,14,Ngamia 240,mbwa 15,032 na Nguruwe 965.

Katika kuuthibiti ugonjwa wa kimeta(anthroux) ambao umebainika kuwepo mnamo tarehe 25/01.2019 baada ya kupokea taarifa ya kifo cha mwanafunzi wa darasa la tatu mwenye umri wa miaka 11 kilichotekea baada ya kula nyama ya ngombe aliyekufa akisadikika kuwa na ugonjwa wa kimeta,baada ya uchunguzi iligundulika ni kweli ngombe huyo alikuwa na kimeta . 

Tarehe 28/02/2019 Serikali  makini ya awamu ya tano chini ya uongozi wa Rais John Pombe Magufuli kupitia Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Profesa Elisante Ole Gabriel ilitoa kwa Halmashauri  dose 35,000 za chanjo ya kimeta, ambazo aliagiza kuwa zitolewe bure ambapo kila ng’ombe atakaye chanjwa alipiwe Tshs. 200/=@ badala ya 400/=@ inayotozwa sasa na Tshs. 100/=@ kwa kila mbuzi/kondoo atakaye chanjwa badala ya Tshs. 300/= inayotozwa sasa kwa mbuzi/kondoo kwa sasa. Aidha alielekeza chanjo hizo zitumike bila kuathiri mpango wa uchanjaji wa Wilaya uliowekwa.

  Vilevile  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido alitoa pesa za kununua chanjo za ugonjwa huo, ambazo ni chupa 100 sawa na dozi 10,000 yenye thamani ya Tshs. 2,000,000/= (Revolving money). Lengo ikiwa ni kuchanja mifugo yote ya Wilaya nzima. Chanjo hiyo tumeshaanza kuitumia kuchanja mifugo kwa bei ya Tsh. 400/= kwa ng’ombe na mbuzi/kondoo  Tshs. 300/=. Halmashauri imeweza kununua vitendea kazi ili kurahisisha uchanjaji wa ugonjwa wa kimeta mapema na kwa wakati.

 Hadi kufikia tarehe 05/03/2019 jumla ya ng’ombe 4850 na mbuzi/kondoo 5785 walishachanjwa katika vijiji vya Tingatinga, Ngereyani na Orbomba na zoezi hili ni endelevu.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.