• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

HALMASHAURI YATOA MKOPO USIO NA RIBA KWA VIKUNDI MBALIMBALI

Posted on: April 12th, 2019

Halmashauri ya wilaya ya longido leo tarehe 12/04/2019 yaaendelea kunufaisha vikundi mbalimbali vya halmashauri kwa kuvipatia mkopo usio na riba.Jumla ya vikundi 14 vimenufaika na mkopo unaotolewa na halmashauri kila baada ya miezi minne/kila robo ya mwaka ikiwa ni kutekeleza agizo la serikali la kutaka kila halmashauri kutenga asilimia 10% ya mapato ya ndani ya halmshuri kwa ajili ya vikundi mbalimbali.

vikundi vilivyo nufaika na mkopo huo ni

1 Namayana - noondoto

2 Nailepwa  - mairowa

3 Namayana b-leremeta

4 Enaiboshu -ildonyo

5 Tunawajali -longido

6 sayuni longido

7 naiba osina -irkaswa

8 Iloonyok  - engikaret

9 Noondishu -Eworendeke

10 The great queen Longido

11 Tuwepa longido

12 Tumaini Osiligi Eworendeke

13 Kimawalo Longido

 14 Wema    -Lerang'wa

        Akizungumza katika hafla hiyo Ndg.Nestrory Dagharo  kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji ,amesema Vikundi 14 vimepata mkopo wa jumla ya shilingi millioni 40 na hadi sasa tumeshatoa zaidi ya shilingi million 131 kwa ajili ya vikundi mbalimbali vya halmashauri ya wilaya yetu ,Nawasihi mkatumie kwa jinsi mlivyo ainisha kwenye shughuli zenu bila kuathiri malengo ya vikundi vyenu .

"Vile vile halmashauri itaendelea  kutoa mikopo kwa vikundi vingine mbalimbali katika halmashuri yetu hivyo basi nawasihi mkafanye kazi na mrudishe mkopo kwa wakati ili na vikundi vingine viendelee kunufaika"alisema kaimu mkurugenzi Nestory.

   Akizungumza katika hafla hiyo mwakilishi wa Madiwani , Mh.Witness amewaasa wanavikundi kutumia fursa hii vizuri wa ajili ya kuleta  maendeleo na kubadilisha hali yao ya maisha .

Mkaone kwamba Mungu amewatendea miujiza ,wilaya ina vikundi vingi sana nyie mliopata nafasi hii mkapate kutumia na kurudisha fedha hii kwa wakati ili na vikundi vingine vipate kunufaika na mkopo huu.msiende kutapanya pesa kwenye njia ambayo sio sahihi kwani hata sisi viongozi wenu tunawafuatili hatua kwa hatua ili fedha hizi ziweze kurudi kwa wakati na kukopeshwa vikundi vingine.

     Nae afisa maendeleo ya jamii wilaya ya longido Grace Mghase amesema mpaka sasa halmashauri imetoa millioni 16 kwa ajili ya walemavu ni jambo zuri kuona kwamba vikundi vya walemavu vinaongezeka kwani wamekuwa wakifichwa majumbani kitu kilichokuwa kinawaathiri walemavu wengi na kukosa msaada kwa serikali hasa katika maeneop haya kifugaji ,Fedha hizi zikatumike kwa ajili ya kuboresha na kuinua uchumi wenu wanakikundi alisema Grace.  

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.