• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YATOA MKOPO USIO NA RIBA KWA VIKUNDI MBALIMBALI

Posted on: April 12th, 2019

Halmashauri ya wilaya ya longido leo tarehe 12/04/2019 yaaendelea kunufaisha vikundi mbalimbali vya halmashauri kwa kuvipatia mkopo usio na riba.Jumla ya vikundi 14 vimenufaika na mkopo unaotolewa na halmashauri kila baada ya miezi minne/kila robo ya mwaka ikiwa ni kutekeleza agizo la serikali la kutaka kila halmashauri kutenga asilimia 10% ya mapato ya ndani ya halmshuri kwa ajili ya vikundi mbalimbali.

vikundi vilivyo nufaika na mkopo huo ni

1 Namayana - noondoto

2 Nailepwa  - mairowa

3 Namayana b-leremeta

4 Enaiboshu -ildonyo

5 Tunawajali -longido

6 sayuni longido

7 naiba osina -irkaswa

8 Iloonyok  - engikaret

9 Noondishu -Eworendeke

10 The great queen Longido

11 Tuwepa longido

12 Tumaini Osiligi Eworendeke

13 Kimawalo Longido

 14 Wema    -Lerang'wa

        Akizungumza katika hafla hiyo Ndg.Nestrory Dagharo  kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji ,amesema Vikundi 14 vimepata mkopo wa jumla ya shilingi millioni 40 na hadi sasa tumeshatoa zaidi ya shilingi million 131 kwa ajili ya vikundi mbalimbali vya halmashauri ya wilaya yetu ,Nawasihi mkatumie kwa jinsi mlivyo ainisha kwenye shughuli zenu bila kuathiri malengo ya vikundi vyenu .

"Vile vile halmashauri itaendelea  kutoa mikopo kwa vikundi vingine mbalimbali katika halmashuri yetu hivyo basi nawasihi mkafanye kazi na mrudishe mkopo kwa wakati ili na vikundi vingine viendelee kunufaika"alisema kaimu mkurugenzi Nestory.

   Akizungumza katika hafla hiyo mwakilishi wa Madiwani , Mh.Witness amewaasa wanavikundi kutumia fursa hii vizuri wa ajili ya kuleta  maendeleo na kubadilisha hali yao ya maisha .

Mkaone kwamba Mungu amewatendea miujiza ,wilaya ina vikundi vingi sana nyie mliopata nafasi hii mkapate kutumia na kurudisha fedha hii kwa wakati ili na vikundi vingine vipate kunufaika na mkopo huu.msiende kutapanya pesa kwenye njia ambayo sio sahihi kwani hata sisi viongozi wenu tunawafuatili hatua kwa hatua ili fedha hizi ziweze kurudi kwa wakati na kukopeshwa vikundi vingine.

     Nae afisa maendeleo ya jamii wilaya ya longido Grace Mghase amesema mpaka sasa halmashauri imetoa millioni 16 kwa ajili ya walemavu ni jambo zuri kuona kwamba vikundi vya walemavu vinaongezeka kwani wamekuwa wakifichwa majumbani kitu kilichokuwa kinawaathiri walemavu wengi na kukosa msaada kwa serikali hasa katika maeneop haya kifugaji ,Fedha hizi zikatumike kwa ajili ya kuboresha na kuinua uchumi wenu wanakikundi alisema Grace.  

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM