• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Kamati za maji za miradi ya tabia nchi zapatiwa mafunzo jinsi ya kutunza miradi ya maji.

Posted on: February 1st, 2018

Kamati za maji za miradi ya Tabia nchi kutoka katika vijiji vya Kiserian,Orbomba,Eorendeke,na Namanga zimepatiwa mafunzo ya jinsi ya kuilinda na kuitunza miradi hiyo ili iwe endelevu na kuwaletea maendeleo kwa muda wa siku mbili kuanzia tarehe 01-02/2018

Akifungua mafunzo hayo Kaimu Mkurugenzi ambaye pia ni Afisa elimu sekondari(W) Mwalimu Gerson Mtera amezitaka kamati hizo kuilinda na kusimamia miradi hiyo kwa kuwa wao wenyewe ndiyo waliibua miradi hiyo na ikapitishwa na ikapata wafadhili na kutekelezwa  pindi watakapokabidhiwa ni jukumu lao kuitunza ili iwe endelevu na kuwaletea maendeleo katika vijiji vyao.

Pia mratibu wa miradi ya Tabia nchi ndg. Ally Msangi nae amezitaka kamati  za maji kuwa wasimamizi wakuu wa miradi hiyo pindi itakapo kabidhiwa ili  miradi yao iwe endelevu na yenye tija na mada zifuatazo ziliwasilishwa kwa wanakamati:- 

- Nini maana ya mabadiliko ya Tabia nchi,

-uendelevu wa miradi

-ushirikishwaji wa jamii katika miradi

-uwakilishi sawa katika kamati za maji

-Uandaaji wa bajeti ya uendeshaji na ukarabati

-Utawala na usimamizi bora wa miradi

-Uandaaji wa taarifa za miradi na utunzaji kumbukumbu

-Tadhiminii na ufuatiliaji wa miradi.

Kwa upande wao wajumbe wa kamati hizo wamesema wameelewa vizuri mafunzo hayo na wanashukuru kwa kuwa nii Mara ya kwanza kwa kamati hizi kupatiwa mafunzo na wamehaidi kuitunza miradi hiyo kwa nguvu zao zote.



Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.