• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

KAMPENI TOKOMEZA NDOA ZA UTOTONI

Posted on: February 26th, 2018


 Shirika la World vision na Tasisi zingine kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Longido wamezindua kampeni kabambe ya kupambana na ukatili wa aina mbalinabali haswa ukatili wa ndoa za utotoni.

 Kampeni hizo zimezinduliwa na Mkuu wa Wilaya ya Longido Daniel Chongolo.

 Akizindua kampeni hizo ameziasa jamii la Wamasai kumthamini mtoto wa Kike kwa kumsomesha apate Elimu kama Mtoto mwingine.

 Amewaambia kuwa kumpa fursa mwanamke ni kulisadia Taifa kutokana na nafasi ya mwanamke katika jamii.

 Mh. Chongolo amesisitiza kuwa jambo la ndoa za utotoni halikubaliki kabisa katika jamii yetu.

 Alisema kuwa hatakuwa na mzaha katika jambo hili kwani nikumtesa mwanamke katika Maisha yake yote na pia kufedhehesha raifa.

 Naye mratibu wa mradi wa mama na mtoto Josia Mluvi aeleza kukidhiri kwa Vitendo vya kikatili kwa watoto ikiwemo ukeketaji na ndoa za utotoni akitaja kazia na simanzi ya msichana aliyekeketwa Mara tatu na kupata maumivu makali yaliyo sababisha kifo wakati wakujifungua.

 Alileza mikakati walio nayo yakumkomboa mtoto wa kike wa jamii ya kimasai ambayo ni pamoja na kutunga sheria ndogo za Halmashauri kumlinda mtoto wa kike.

 Naye mratibu wa WV alieza lengo la kampeni kuwa ni kumlinda mtoto wa kimasai na vitendo vya ukatili wa ndoa za utotoni na kumuwezesha kupata fursa na elimu itakayoondoa mianya ya ukatili huu.

 Naye afisa ustawi wa Wilaya Bi Atuganike aliongeza kuwa katika jamii zetu ukatili umeongezeka sana ambapo kwa mwezi Februari kesi za ukatili wa wasichana zimefika 10 na kati ya hizo 2 zimepelekwa mahakama changsmoto kubwa ikiwa ni kukosekana ushirikiano na ushahidi kwani jamii imekuwa ikiwaficha wahalifu.

 Muwakilishi wa Mkuu wa Polisi aliekeza namna ambavyo jamii inamkandamiza mtoto wa kike kwa vitendo vya ukatili. Kesi nyingi zimelundikana na jamii inawakinda wahalifu kwakuwa wanakubaliana kimila nakuwalinda wahalifu.

 Mambo mengi yamezungumzwa na mikakati mbalimbali imetolewa. Hivyo ni jukumu la kila mmoja kumlinda mtoto wa kike.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.