• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KAMPENI TOKOMEZA NDOA ZA UTOTONI

Posted on: February 26th, 2018


 Shirika la World vision na Tasisi zingine kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Longido wamezindua kampeni kabambe ya kupambana na ukatili wa aina mbalinabali haswa ukatili wa ndoa za utotoni.

 Kampeni hizo zimezinduliwa na Mkuu wa Wilaya ya Longido Daniel Chongolo.

 Akizindua kampeni hizo ameziasa jamii la Wamasai kumthamini mtoto wa Kike kwa kumsomesha apate Elimu kama Mtoto mwingine.

 Amewaambia kuwa kumpa fursa mwanamke ni kulisadia Taifa kutokana na nafasi ya mwanamke katika jamii.

 Mh. Chongolo amesisitiza kuwa jambo la ndoa za utotoni halikubaliki kabisa katika jamii yetu.

 Alisema kuwa hatakuwa na mzaha katika jambo hili kwani nikumtesa mwanamke katika Maisha yake yote na pia kufedhehesha raifa.

 Naye mratibu wa mradi wa mama na mtoto Josia Mluvi aeleza kukidhiri kwa Vitendo vya kikatili kwa watoto ikiwemo ukeketaji na ndoa za utotoni akitaja kazia na simanzi ya msichana aliyekeketwa Mara tatu na kupata maumivu makali yaliyo sababisha kifo wakati wakujifungua.

 Alileza mikakati walio nayo yakumkomboa mtoto wa kike wa jamii ya kimasai ambayo ni pamoja na kutunga sheria ndogo za Halmashauri kumlinda mtoto wa kike.

 Naye mratibu wa WV alieza lengo la kampeni kuwa ni kumlinda mtoto wa kimasai na vitendo vya ukatili wa ndoa za utotoni na kumuwezesha kupata fursa na elimu itakayoondoa mianya ya ukatili huu.

 Naye afisa ustawi wa Wilaya Bi Atuganike aliongeza kuwa katika jamii zetu ukatili umeongezeka sana ambapo kwa mwezi Februari kesi za ukatili wa wasichana zimefika 10 na kati ya hizo 2 zimepelekwa mahakama changsmoto kubwa ikiwa ni kukosekana ushirikiano na ushahidi kwani jamii imekuwa ikiwaficha wahalifu.

 Muwakilishi wa Mkuu wa Polisi aliekeza namna ambavyo jamii inamkandamiza mtoto wa kike kwa vitendo vya ukatili. Kesi nyingi zimelundikana na jamii inawakinda wahalifu kwakuwa wanakubaliana kimila nakuwalinda wahalifu.

 Mambo mengi yamezungumzwa na mikakati mbalimbali imetolewa. Hivyo ni jukumu la kila mmoja kumlinda mtoto wa kike.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM