• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

KATIBU TAWALA MKOA WA ARUSHA DKT.KIHAMIA ATEMBELEA MIRADI YA AFYA NA ELIMU LONGIDO

Posted on: November 17th, 2021

Katibu tawala mkoa wa Arusha Dkt Athumani Kihamia leo tarehe 17-11-2021 amefanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya Afya na Elimu iliyopokea fedha za Mpango wa serikali ya Tanzania wa kuinua Uchumi kwa kutumia mkopo wa fedha wa Sh. Trillion 1.3 uliotolewa na shirika la fedha Duniani (IMF) na kukabiliana na ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO 19) ili kuangalia utelezaji wa miradi hiyo wilayani Longido.

Katibu TawalaMkoa wa Arusha Dkt Athumani Kihamia amesema wilaya ya Longido ni moja ya wilayailiyopewa fedha nyingi kwa ajili ya ujenzi wa shule shikizi kutokana naJiografia ya eneo hilo,na kutoa wito kwa wasimamizi wa ujenzi kutofanyaubadhirifu wa fedha hizo.Dkt Kihamia alisema wilaya hiyo imepewa sh billion 1kwa ajili ya ujenzi wa Madarasa 50 maeneo mbalimbali katika wilaya,fedha hizini za moto msijaribu kuzitumia kinyume na kile kilichoagizwa.


Akizungumzia hali ya miradi inavyotekelezwa ,alisema pamoja na kuwa wilaya hiyoupatikanaji wa Nyenzo(Material) kwa ajili ya ujenzi ni changamoto lakini viongoziwamejitahidi kusimamia tofauti na maeneo mengine ambayo malighafi yanapatikanakwa haraka." Mmejitahidi na mpo kwenye hatua nzuri,lakini haimaanishi kuwammeshamaliza kazi bado,tutarudi kukagua na wataendelea kuja watu kutoka maeneombalimbali kwa ajili ya kukagua miradi hii ikiwemo TAKUKURU"Alisema DktKihamia.


Katika hatua nyingine,aliwahasa wazazi kuwapeleka watoto shule na kuachana nadesturi ya kuwachungisha mifugo,kwani serikali inatambua haki ya elimu kwamtoto ndio maana Rais Samia ametoa fedha za ujenzi wa Madarasa hayo nakuwasogezea huduma karibu watoto wasiendelee kutembea umbali mrefu kufuataelimu.


Jacob Laizer Mkazi wa Kata ya Orbomba Tarafa ya Longido akizungumza kwa niabaya wananchi alitoa shukrani kwa Rais Samia kwa kuleta fedha za miradi ya elimuna kudai kuwa shule nyingi wilayani humo zenye ufaulu duni wa watoto nikutokana na umbali mrefu wa kwenda shule.Alisema,uwepo wa shule hizo karibu najamii kutasaidia kupunguza kwa kuzorota kwa elimu kwa watoto wa jamii yakifugaji,kwani Uvivu wa kutembea zaidi ya kilomita 10_25 kufuata elimuutapungua na watoto watasoma kwa raha." Hata hivyo watoto wetu walipokuawakitembea umbali mrefu kufuata elimu kwenye shule mama za msingi walikuawakikutana na wanyama wakali Hali hiyo pia ilikua ikiwatia hofu na kukata tamaaya kuendelea na masomo na kupeleka utoro sugu wa wanafunzi" alidai Laizer.


Hata hivyo Mkuu wa Wilaya Nurudin Babu katika ziara yake aliwasisitiza jamiihiyo kutumia majengo hayo pindi yatakapo kamilika  kwa kuhakikisha watotowanakwenda shule ili yasibaki Kama Ghofu na nyumba ya wadadu Kama vile Buibui.Aidha aliwataka jamii kujiongeza kwa ajili ya ujenzi wa vyoo katika maeneoyaliyojengwa shule shikizi sambamba na Madarasa hayo ili watoto watakapoanzakusoma wapate huduma ya vyoo na kuepuka kujisaidia maeneo yasiyorasmi Mfanovichakani." Naomba acheni tabia ya kuwakeketa watoto wakike pamoja na ndoaza utotoni" aliomba Babu.


Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Longido Stephen Ulaya alisema pamojana kuwepo kwa changamoto ya upatikanaji wa maji na matofali,lakini wamejipangakukabiliana nalo na ifikapo Desemba 15 Madarasa hayo yatakua yamekamilika.


Ikumbukwe kuwa fedha hizi ni fedha za Mpango wa serikali ya Tanzania wa kuinuaUchumi kwa kutumia mkopo wa fedha wa Sh. Trillion 1.3 uliotolewa na shirika lafedha Duniani (IMF) na kukabiliana na ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO 19).

   

Mafundi ujenzi wakiwa kwenye picha ya pamoja na RAS katika ujenzi wa vyumba vinne shule shikizi Odorko.  

 Ujenzi wa madarasa mawili ya shule sekondari ya Namanga


 Ujenzi wa madarasa mawili ya Sekondari ya Longido

 Ujenzi wa Vyumba viwili vya Madarasa Katika shule ya Sekondari Engarenaibor

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.