• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA MKOA WA ARUSHA KIMEENDELEA LONGIDO, MWENYEKITI DK. WEDSON SICHALWE

Posted on: May 9th, 2019

Kikao kazi cha wadau wa sekta ya Afya katika mkoa wa Arusha kimeendelea leo Mei 9, 2019 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Longido kikiongozwa na mwenyekiti ambaye ni Mganga mkuu wa Mkoa wa Arusha Dk. Wedson Sichalwe, huku hoja mbalimbali zikijadiliwa, mbinu tofauti kwa hatua muhimu za kuchukua lengo ni kuweka ulinzi, tahadhari dhidi ya kunusuru vifo vya uzazi na watoto.

 Dk. Sichalwe amezungumzia swala la vifo vya akina mama, uzazi na watoto kuendelea kutokea ni kutokuwepo kwa ushiriki wa karibu baina ya jamii na wataalamu au waganga na wadau wa sekta hiyo, hivyo amedai kuwa kuna kila sababu ya kutafuta utatuzi wa nini chanzo cha vifo wapi pana mapungufu kwa kujadiliana na jamii, wataalamu pamoja na wadau kwa kutoa nafasi za mapendekezo, maoni na ushauri.

Vilevile amewasihi wadau wote wa Afya kutojitenga na jamii kwani kunauhitaji mkubwa wa kuwaelimisha wananchi ili wachukue hatua za haraka kuwahi hospitali pale linapotokea tatizo la kiafya kwa mama, jambo linalowasaidia wataalamu kunusuru maisha ya mama na mtoto kuliko kwenda wamechelewa jambo linalowapa ugumu wahudumu wa Afya.

Dk. Simon Chacha ambaye ni Mganga mkuu wa jiji Arusha amelitolea ufafanuzi swala la vifo hivyo kwa kusema kuwa hatua zimekuwa zinachukuliwa baada hatari na kwa wakati ambao huwezi nusuru maisha kwa asilimia mia .

Aidha amewataka wadau wa Afya kushirikisha taasisi zote za Afya zilizopo Mkoa wa Arusha na kuzipa vipaumbele ili kuwafikia wananchi wote na kutaka iundwe sheria inayowataka na kuwasisitiza akina mama kujifungulia hospitali .

Naye Afisa ustawi wa jamii mkoa wa Arusha Denis Mgiye amewaomba wadau kutowaweka nyuma ofisi za Ustawi wa jamii kwani na wao wanayodhamana ya kufahamu kwa ukaribu matatizo yaliyo kwenye jamii.

Dk. Titus Mmasi DMO wa Monduli amebainisha changamoto zilizopo kuwa ni kushindwa kuwafikia na kuwahusisha katika vikao wananchi wote, kutowahusisha kamati ya ulinzi ya ustawi wa jamii ile hali wana mamlaka ya kutoa taarifa za maendeleo ya jamii pamoja  jamii kutojitokeza kwa wingi katika mikutano.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM