• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA MKOA WA ARUSHA KIMEENDELEA LONGIDO, MWENYEKITI DK. WEDSON SICHALWE

Posted on: May 9th, 2019

Kikao kazi cha wadau wa sekta ya Afya katika mkoa wa Arusha kimeendelea leo Mei 9, 2019 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Longido kikiongozwa na mwenyekiti ambaye ni Mganga mkuu wa Mkoa wa Arusha Dk. Wedson Sichalwe, huku hoja mbalimbali zikijadiliwa, mbinu tofauti kwa hatua muhimu za kuchukua lengo ni kuweka ulinzi, tahadhari dhidi ya kunusuru vifo vya uzazi na watoto.

 Dk. Sichalwe amezungumzia swala la vifo vya akina mama, uzazi na watoto kuendelea kutokea ni kutokuwepo kwa ushiriki wa karibu baina ya jamii na wataalamu au waganga na wadau wa sekta hiyo, hivyo amedai kuwa kuna kila sababu ya kutafuta utatuzi wa nini chanzo cha vifo wapi pana mapungufu kwa kujadiliana na jamii, wataalamu pamoja na wadau kwa kutoa nafasi za mapendekezo, maoni na ushauri.

Vilevile amewasihi wadau wote wa Afya kutojitenga na jamii kwani kunauhitaji mkubwa wa kuwaelimisha wananchi ili wachukue hatua za haraka kuwahi hospitali pale linapotokea tatizo la kiafya kwa mama, jambo linalowasaidia wataalamu kunusuru maisha ya mama na mtoto kuliko kwenda wamechelewa jambo linalowapa ugumu wahudumu wa Afya.

Dk. Simon Chacha ambaye ni Mganga mkuu wa jiji Arusha amelitolea ufafanuzi swala la vifo hivyo kwa kusema kuwa hatua zimekuwa zinachukuliwa baada hatari na kwa wakati ambao huwezi nusuru maisha kwa asilimia mia .

Aidha amewataka wadau wa Afya kushirikisha taasisi zote za Afya zilizopo Mkoa wa Arusha na kuzipa vipaumbele ili kuwafikia wananchi wote na kutaka iundwe sheria inayowataka na kuwasisitiza akina mama kujifungulia hospitali .

Naye Afisa ustawi wa jamii mkoa wa Arusha Denis Mgiye amewaomba wadau kutowaweka nyuma ofisi za Ustawi wa jamii kwani na wao wanayodhamana ya kufahamu kwa ukaribu matatizo yaliyo kwenye jamii.

Dk. Titus Mmasi DMO wa Monduli amebainisha changamoto zilizopo kuwa ni kushindwa kuwafikia na kuwahusisha katika vikao wananchi wote, kutowahusisha kamati ya ulinzi ya ustawi wa jamii ile hali wana mamlaka ya kutoa taarifa za maendeleo ya jamii pamoja  jamii kutojitokeza kwa wingi katika mikutano.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.