• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

KITUO CHA AFYA ENGARENAIBOR KIMEANZA KUTOA HUDUMA YA UPASUAJI

Posted on: June 14th, 2024

 "Timu ya madaktari wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido tumejiandaa na tumejipanga vema kusaidia na kutoa huduma bora kwa wananchi wote wa Wilaya ya Longido zikiwepo huduma za upasuaji".Alisema Daktari D Majani Kaimu Mganga Mkuu Halmashauri ya Wilaya ya Longido.

Halmashauri ya Wilaya ya Longido kupitia idara ya afya, Ustawi wa Jamii na Lishe katika kuboresha huduma ya mama na mtoto pamoja na kusogeza huduma karibu na wananchi.

Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wake Rais Dkt Samia Suluhu imejenga vituo vya Afya vingi kote nchini ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma mahala pa karibu pasipo kutembea umbali mrefu kufuata huduma hizo muhimu za Afya

Sambamba na kutoa vifaa tiba kwa ajili ya kutolea huduma hizo kwa wananchi.

Kwa kuona na kuzingatia hilo kituo cha Afya cha Engarenaibor kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Longido kimeanza kutoa huduma za upasuaji kwenye kituo hicho kwa mara ya kwanza.

Akizungumza kwa niaba ya wananchi na mkazi wa Engarenaibor mama Nanyori Amempongeza Mheshimiwa Rais kwa kuwajengea kituo hicho na kuwapatia Madaktari sambamba na vifaa tiba.

"Sisi wananchi na wakazi wa Engarenaibor tunapenda kutoa shukrani zetu zifike moja kwa moja kwa Mama yetu mama Samia kwa kutupigania sisi wakazi wa Engarenaibor kwa kujenga Kituo cha Afya kizuri." Alisema mama Nanyori

"Tunapenda kuipondeza serikali ya awamu ya sita chini ya Mheshimiwa Rais Dr Samia kwa kuwezesha miundombinu mbinu na vifaa tiba  hatimae huduma ya upasuaji imefanyika katika kituo cha afya Engarenaibor kwa mara ya kwanza tarehe 13/06/2024 hiininapelekea kuwapunguzia akina mama usumbufu wa kusafiri takrbani km 40 kwenda hospital ya wilaya pindi wanapokubwa na changamoto za uzazi". Alisema Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya Dkt D Mathew Majani.

Kituo cha Afya Cha Engarenaibor kinatoa huduma zote muhimu za kiafya, pamoja na hata huduma ya mama na mtoto.

Aidha wananchi na wakazi wote wa Engarenaibor na Longido kwa ujumla ni rai ya Serikali kutaka wananchi wote wanaenda kupata huduma ya Afya kwenye vituo vilivyowekwa na Serikali na kuacha kabisa tabia ya kutumia miti shamba na kujifungulia njiani,kwani inahatarisha sana maisha ya wananchi walio wengi hasa wazee, wamama wajawazito pamoja na watoto.

Huduma za Afya kwenye Hospital, vituo vya Afya na Zahanati zilizopo Wilayani Longido ni bora  na zina madaktari wazuri na wenye weredi wa kutoa huduma hizo.


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KAZI IENDELEE

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 08, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA ( LINARUDIWA ) October 10, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA October 19, 2024
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA LONGIDO AWATAKIA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA KILA LAHERI KWENYE MITIHANI YAO

    September 09, 2025
  • HUDUMA ZA UPASUAJI ZAANZA RASMI KITUO CHA AFYA EWORENDEKE - LONGIDO

    September 06, 2025
  • HUDUMA ZA UPASUAJI ZAANZA RASMI KITUO CHA AFYA EWORENDEKE - LONGIDO

    September 06, 2025
  • RC ARUSHA ATOA WITO WA AMANI NA UTULIVU LONGIDO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    September 04, 2025
  • View All

Video

PWC YATOA MSAADA KWA MASHIRIKA MADOGO LONGIDO KUKABILI MABADILIKO YA TABIA NCHI
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.