• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

LIONS CLUB of ARUSHA, YASAIDIA WAGONJWA WA MACHO LONGIDO

Posted on: May 19th, 2019

 Shirika la LIONS CLUB of ARUSHA katika hatua ya kuendelea kusaidia watu waishio vijijini limetoa msaada wa huduma ya macho katika Hospitali ya Wilaya ya Longido  pamoja na kukabidhi miche ya Miti 70 kwa Afisa misitu wa Wilaya hiyo ili kuboresha utunzaji wa mazingira, Mei 19, 2019.

Akizungumzia zoezi la utoaji wa msaada huo Mkurugenzi wa Lions Club of Arusha Balwinder Singh Bansal amesema kuwa shirika linalenga kusaidia maeneo yote ya Vijijini katika mkoa wa Arusha yenye uhitaji katika Elimu, Afya, Mazingira na Ustawi wa jamii.

Vilevile Bansal amesema kuwa huduma ya macho itasaidia kuendelea kwa shughuli za hapa na pale kwa kiasi kukubwa hasa kwa wanachi ambao walikuwa hawaoni karibu na mbali “wananchi wataanza kuona vyema sasa maandishi, kuchambua vyakula n.k. na wale wasiokuwa na uwezo wa kununua miwani wamepatakulingana na matatizo walionayo baada ya vipimo kutoka kwa wataalamu” amesema Bansal

Ameendelea kusema kuwa Lions Club of Arusha inatambua uwepo wa watu kama hawa na itaendelea kuwasaidia kwa kadri iwezekanavyo na kutoa ushauri wa kitaalamu wa kufika Hospitali watakazoelekezwa mara kwa mara kwa matibabu zaidi wale wenye matatizo kama Mtoto wa jicho n.k., pia katika mazingira amefafanua kuwa Longido inakuwa na ukame kwahiyo watashirikiana kuumaliza.

Naye Mratibu wa Lions Club of Arusha Maswanya Yusuf ameelezea jinsi walivyotambua uwepo wa wananchi wenye nia ya kulitumikia taifa lakini hawana uwezo wa kumudu gharama za matibabu ni baada ya kuona waliowengi wanapatikana Vijijini. Ambapo katika zoezi hilo wamejitokeza wananchi wengi swala ambalo limepelekea zoezi kuanza asubuhi majia ya saa 03:00 mpaka 12: jioni.

Kwa upande wake Mratibu wa Macho Wilaya ya Longido Gustaph Thadeus Materu amesema lengo la huduma hii iliyotolewa na Lions Club of Arusha ni kupima macho na kutoa huduma kwa watakaogundulika na matatizo, na kwa wale watakaogundulika wana ugonjwa kama mtoto wa jicho watapata huduma katika hospitali ya St. Elizabeth vilevile watakaoshindikana watagharamikiwa gharama za matibabu katika Hospitali ya KCMC.

Materu amebainisha chanzo  cha magonjwa kama ya macho kuwa ni Uzee, Vumbi, maji machafu, kisukari n.k. Pia ametoa wito kwa wananchi wa Wilaya hiyo kufika hospitalini hapo na kuonana na wataalamu kwa matibabu zaidi.

Akipokea miche ya miti 70 Afisa Misitu wa Wilaya ya Longido Boaz Mtokoma amewapongeza Lions Club of Arusha kwa msaada huo huku akiahidi kupanda miti hiyo kwa wakati katika maeneo mbalimbali “Kwa niaba ya mkurugenzi wa Wilaya nitoa shukrua za dhati kwenu na muendelee kutukumbuka tunaomba zaidi na zaidi bado tuna uhitaji mkubwa wa miche ndani ya Wilaya yetu” alisema Boaz

Boaz Mtokoma ameendelea kusema kuwa shukrani za dhati ziwafikie watu pamoja na mashirika binafsi na serikali kwa misaada ya miche ya miti inayoendelea kutoa wilayani Longido.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.