• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

LONGIDO YAPATA MGAO WA CHAKULA MASHULENI KUKABILIANA NA JANGA LA NJAA.

Posted on: July 10th, 2023

Mkuu wa wilaya ya Longido Mheshimiwa Marco Henry Ng'umbi leo tarehe 10/07/2023, amepokea mradi wa chakula toka Shirika la World Vision kwa ajili ya shule za msingi 30 zilizopo katika kata ya Ketumbeine ambazo zina zaidi ya wanafunzi 11,726.

Akikabidhi chakula hicho, Mratibu wa world Vision kata ya Ketumbeine Ndugu Peruth Daudi kwa shule hizo 30 za msingi, World Vision imetoa jumla ya gunia 1140 za  Mahindi, Gunia 281 za Maharagwe pamoja na Ndoo  274 za Mafuta ya kupikia zenye ujazo wa lita 20 ambavyo vimegharimu takribani  Shilingi Milion 175 za kitanzania.

Mheshimiwa mkuu wa wilaya amelishukuru shirika la world Vision kwa kuona sababu ya kutoa msaada huo wa chakula kwa watoto wa shule za Msingi katika Wilaya yake "Nimepita nimeona chakula mashuleni, kama tunavyojua uwepo wa chakula mashuleni kunaongeza chachu ya wanafunzi katika kujifunza".Alisema mheshimiwa Ng'umbi.

Serikali inatambua mchango wa wadau na mashirika mbalimbali kwenye elimu, hivyo basi inaunga mkono jitihada za Shirika la World  Vision kwenye kusaidia wanafunzi haswa wa shule za msingi.

Mheshimiwa mkuu wa wilaya amelipongeza shirika la World Vision kwa kutimiza Afua za lishe kwa wanafunzi "Kwa kuwa watoto  wanakula shuleni  wote tumeona wamependeza na wana afya njema" aliongeza Mkuu wa wilaya.

Naye Ndugu  Grace Mghase kwa niaba ya mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Longido amewaasa shule zilizonufaika na chakula hicho kukitumia kwa manufaa ya walengwa na si vinginevyo. Kwa kufanya hivyo kunarahisisha matumizi ya bajeti ya chakula kwa muda mrefu, na amewaasa wazazi kutojibweteka katika uchangiaji wa chakula mashuleni.

Shirika la World vision limekuwa likifanya vizuri  kwenye maendeleo haswa ya  chakula mashuleni kwenye wilaya ya longido haswa kata ya Ketumbeine.


JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA  KAZI IENDELEE

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.