• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

MADIWANI WAWASILISHA TAARIFA ZA UTEKELEZAJI KWA ROBO YA NNE APRILI MPAKA JUNI 2019

Posted on: September 4th, 2019

MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA LONGIDO. TAREHE 04.09.2019

Baraza la madiwani Halmashauri ya wilaya Longido wakiwasilisha taarifa za utekelezaji wa kata kwa kipindi cha Aprili hadi Juni 2019. Hivyo leo tarehe 04.09.2019 kikao hicho kilicho ongozwa na mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya Mhe. Sabore Molloimet katika ukumbi wa mikutano wa J.K. Nyerere Halmashauri ya wiliya Longido. Katika kikao hicho kila Diwani aliweza kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa kata kwa kuelezea namna ya utekelezaji wa maazimio ya kikao kilicho pita mwezi Mei 2019, mafanikio, changamoto pamoja na mapato na matumizi katika kata zao.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya Longido Mhe. Sabore Molloimet amewaomba waheshimiwa madiwani kuandaa tarifa zao na kupeleka mahali husika kwa wakati, pia ameagiza watendaji kuwa na tabia ya kuwakumbusha waheshimiwa madiwani kusaini taarifa wanazoziandika, sambamba na hilo amewataka viongozi ( madiwani) kulinda usalama wa raia na mali zao kwani wananchi waliwachagua kwa kazi hizo.

Baada ya diwani wa Mundarara Mhe. Elias Mushao kuelezea jinsi kata yake ilivyo na uhaba wa vyombo vya uasafiri hasa kitengo cha afya ameeleza kuwa vijiji kumi na mbili (12) hutegemea zahanati moja , na kuulizia Pikipiki iliyo tolewa na mhe. Catherine Magige kwajili ya zahanati ya Mundarara, ndipo Mwenyekiti akatoa agizo  kwa afisa ukaguzi kwamba pikipiki hiyo ipelekwe eneo husika maara baada ya kikao hicho. Diwani wa Kamwanga Mhe. Elias Mbao, ameomba Halmashauri ya wilaya kuweza kumpeleka mganga mkuu kata ya Kamwanga kwani kuna changamoto kubwa katika sekta ya Afya.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Longido wakili Jumaa Mhina, amelielezea baraza juu ya umeme wa vijijini ( REA)  na kusema kuwa wilaya ya Longido pekee ndio haikupata mgao wa umeme vijijini kwa miaka iliyo pita ila kwasasa  mgao huo wa umeme umefika wilayani Longido na tukiwa tumekusudia kila kata kuwa na umeme na kuwaomba waheshimiwa madiwani wakisaidiana na watendaji wa kata kutoa taarifa ya vijiji ambavyo hawajafikiwa  na huduma ya umeme huu wa (REA). Aidha Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya Longido, Mhe. Sabore Molloimet amesema kuwa ifikapo mwaka 2022 vijiji vyote wilayani Longido vitakuwa vinawaka umeme.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 08, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA ( LINARUDIWA ) October 10, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA October 19, 2024
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA LONGIDO AWATAKIA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA KILA LAHERI KWENYE MITIHANI YAO

    September 09, 2025
  • HUDUMA ZA UPASUAJI ZAANZA RASMI KITUO CHA AFYA EWORENDEKE - LONGIDO

    September 06, 2025
  • HUDUMA ZA UPASUAJI ZAANZA RASMI KITUO CHA AFYA EWORENDEKE - LONGIDO

    September 06, 2025
  • RC ARUSHA ATOA WITO WA AMANI NA UTULIVU LONGIDO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    September 04, 2025
  • View All

Video

WASICHANA WA SHULE YA SEKONDARI LONGIDO WAPATIWA ELIMU YA HEDHI SALAMA NA MSAADA WA TAULO ZA KIKE
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.