• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MH ANJELA KAIRUKI WAZIRI WA OFISI YA RAIS TAMISEMI AMEFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAJUMBE WA TIMU ZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST NGAZI YA MKOA NA HALMASHAURI

Posted on: December 14th, 2022


Mafunzo ya kuwajengea uwezo wajumbe wa timu za utekelezaji wa mradi wa Boost ngazi ya Mkoa na Halmashauri yamezunduliwa rasmi mkoani Arusha na Mheshimiwa Angella Kairuki tarehe 13/12/2022 ikijumisha kanda ya kaskazini mikoa ya Arusha, Manyara na Singida

  Akizindua mafunzo hayo ya siku mbili kwa wajumbe takribani 274 wanaounda team ya kufanikisha mradi wa Boost katika ukumbi wa shule ya Sekondari Ilboru iliyoko mkoani Arusha  mh waziri Angela Kairuki amewaaomba wajumbe kusimamia mradi huo ambao umelenga katika kuborosha elimu katika ngazi ya shule za msingi kwa madarasa ya awali na darasa la kwanza , ikiwa ni samabamba na kuboresha mazingira ya nje na ndani ya kujifunza na kufundishia ikiwemo madarasa pia kuongeza ujuzi wa watoto ili waweze kuwa na uwezo wa  kuhesabu, kusoma na kuandika,kuongeza mzunguko kwa wanaomaliza elimu ya msingi ili kuweza kutimiza malengo yao na kuongeza umahili wa TEHAMA kuanzia ngazi ya awali mpaka chuo kikuu.

  Mradi huu wa Boost ni mpya na utatekelezwa katika mikoa yote 26 ya Tanzania mh waziri amewataka wajumbe kufuata taratibu na miongozo iliyowekwa na Ofisi ya Rais Tamisemi pia amewaasa waratibu wa mradi katika kutekeleza mradi huu kufuata taratibu za manunuzi bila kubadilisha pale panapobidi kubadikisha basi kutoa  taarifa ama ushauri kwenye ofisi husika yaani OR - TAMISEMI.

  Kutokana na tathmini iliyofanyika Serikali imepata udhamini wa kiasi cha Tsh Tirion 1.15 kwa ajili ya kukamilisha Afua nane zilizowekwa. Ili kuweza kukamilisha mradi huu wa Boost tunapaswa kuhakikisha tunafanya vizuri kwenye hafua zote nani kwani mradi huu ni "LIPA KWA MATOKEO"

  Nimefurahishwa na uundaji wa Team hizi katika Mikoa ili ikiwa ni kuwa na lengo la kufanikisha shughuli zote za elimu ivyo niwaombe wajumbe kukamilisha Afua zote zikiwemo pamoja na kujenga madarasa 12000 nchi nzima, utekelezaji wa shule salama 1000, kuongeza idadi ya uandikishaji kwa madarasa ya awali na darasa la kwanza, utekelezaji wa Elimu wa walimu kazini ili kuwajengea uwezo katika ufundishaji, utekelezaji wa TEHAMA, kuboresha zana za ufundishaji, sambamba na kuongeza idadi ya ufaulu wa wanafunzi.

  Aidha Waziri Angela ameitaka team kuwa makini wakati wa kujifunza ili kujua vema mradi na hatimae kuutekeleza vema kwa maslahi ya nchi kwa ujumla "ufanisi wa mradi huu uko mikononi mwetu"Alisema Mh Angela Kairuki

  Ili kuweza kufanikisha mradi huu team ya kusimamia mradi imeishauriwa kufuata masharti ya mradi ikiwa ni kuzingatia sheria, kanuni na mwongozo wa mradi,utunzaji wa nyaraka zote muhimu kwa usahihi, mipango itayopangwa ifuatwe bila kuchepushwa kwa namna nyingine, kuimirisha uhusiano mzuri na jamii, kuepuka mianya yote ya rushwa katika utekelezaji wa mradi, kufanikisha mradi kwa muda uliowekwa.

  Niwaombe ndugu zangu tuwe mfano mzuri katika kutekeleza mradi na sio kukwamisha maana sheria itachukuliwa kwa yeyote atakaebainika kuwa chanzo cha kukwamisha mradi hii ni kwa maslahi mapana ya nchi yetu.

 Aidha waziri amemshukuru Dr Samia Suluhu Hasaan kwa kuona ipo haja ya kuborosha shule zetu za msingj hususani kwa madarasa ya awali na darasa la kwanza.

*KAZI IENDELEE

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM