• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWANI WAIBUA MIKAKATI MIPYA YA KUBORESHA MAISHA YA WANANCHI WA LONGIDO

Posted on: November 11th, 2019

Leo tarehe 11-11-2019 wajumbe wa Baraza la madiwani wa halmashauri ya Longido wamefanya mkutano wa kawaida katika ukumbi wa JK Nyerere ulioko Halmashauri ya wilaya ya Longido. Mkutano huo ulioongozwa na Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Bwana Gerson Mtera  na Mh Simon Oitesoi Diwani kata ya Gelai Lubwa ulikuwa na ajenda mbalimbali ikiwemo kupitia maazimio yote ya mkutano uliopita na utoaji wa taarifa wa utekelezaji wa kata kwa kipindi cha Julai mpaka septemba 2019.

Madiwani hao waliweza kuwasilisha taarifa hizo wakiwa wameeleza mafanikio na changamoto wanazokumbana nazo katika nyanja za elimu, kilimo, ufugaji, utekelezaji wa miradi ya maendeleo , utunzaji wa mazingira ,kiuchumi na afya.

Katika uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji waheshimiwa wajumbe madiwani wa kata walitoa taarifa mbalimbali kutoka katika kata zao ikiwemo utekelezaji wa miradi mipya na inayoendelea, mafanikio , changamoto na njia za jinsi ya kutatua changamoto hizo.

baadhi ya changamoto zilizo bainishwa ni pamoja na utoro wa wanafunzi mashuleni, upungufu wa vyumba vya madarasa ,nyumba za watumishi yaani waalimu,  uhaba wa malisho ya mifugo, usafiri , maji safi na salama katika maeneo yao,madawati na vitendea kazi kwenye ofisi za umma.

Pia baraza la madiwani walimtaka afisa kilimo wilaya Ndugu Edward Kasiga kutoa vibali vya kupewa mahindi katika kata uzingatie uhitaji na sio kiwango kimoja kwa kata zote kwani kuna baadi ya kata hazina uhitaji na mwisho walikubaliana kuwa ugawaji wa mahindi ili kukabiliana na mfumuko wa bei katika kata mbalimbali ufanyike kwa kutegemea uhitaji wa kata husika  kwani kuna baadhi ya kata hazina uhitaji kabisa ya mahindi hayo.

Mkuu wa  wilaya ya Longido Ndugu Frank James  Mwaisumbe alipata nafasi ya kuongea kwa kifupi na alisisitiza baadhi ya mambo muhimu kama ujenzi wa vyumba vya madarasa, uanzishaji wa shule ya kidato cha tano na sita katika shule ya Endument kwa ajili ya kuhamisisha wanafunzi kupata nafasi ya kuchukua masomo ya sayansi. Pia mkuu wa wilaya alisisitiza ugawaji wa mahindi kwa bei nafuu ili kuepukana mfumuko wa bei kwa kuzingati uhitaji.

Mh Simon Oitesoi alifunga kikao saa 7.00 mchana kwa kupata chakula cha pamoja  na wajumbe wote.  

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.