• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Mkuu wa mkoa ahitimisha ziara yake Wilayani Longido

Posted on: May 16th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh.Mrisho Mashaka Gambo ahitimisha ziara yake ya siku tatu wilayani Longido.


Mh Gambo amehitimisha ziara hiyo tarehe 16/5/2018 ambayo ilianza tarehe 14/5/2018 kwa kupitia hoja za CAG pamoja na wataalam wa Halmashauri ya Longido, lakini pia alipata muda wa kuongea na wananchi wa kata ya mundarara na kusikiliza changamoto zote ikiwa ni pamoja na changamoto ya miundombinu na kuaidi kuitatua kupitia TARURA lakini pia changamoto ya mawasiliano kwani hakuna mtandao wa simu unaopatikana katika kata ya mundarara na kuahidi kulifanyia kazi ndani ya muda mfupi

Aidha Mhe Gambo alikagua vituo vya afya vinavyojengwa vya Eworendeke na Engarenaibor na kupongeza hatua iliyofikiwa katika ujenzi huo unaojengwa kwa kutumia mafundi (force account) na kusimamiwa na Mhandisi wa Ujenzi wa Halmashauri.

Kadhalika Mh.Gambo aliweka jiwe la msingi katika Maabara ya shule ya sekondari ya Ketumbeine na kuongea na walimu wa shule hiyo ambapo akiweza kuelezewa changamoto zinazowakabili na kutoa ahadi ya kuzifanyia kazi

Mh. Gambo alihitimisha ziara yake kwa kukagua chanzo cha Maji  cha mto Simba wilayani siha kinacholeta maji Longido.

Katika ziara yake Mh.Gambo aliongozana na Mkuu wa Wilaya ya Longido Mh.Daniel Chongolo,  Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Mwl.Gerson Mtera,  Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mh.Esupat Ngulupa ,Wataalam kutoka Sekretariet ya Mkoa ikiongozwa na Katibu Tawala Ndg Richard Kwitega. Pia walikuwepo wakuu wa idara na vitengo wa Halmashauri ya Longido na Waandishi wa habari.

Mh.Gambo  aliwashukiru Watumishi na kuwaasa wafanye kazi kwa bidii kwani Serikali yao chini ya uongozi wa Rais John Pombe Magufuli ina nia njema na ya dhati kwa watumishi.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.