• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Naibu waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano afanya ziara ya Kuzindua Mnara wa mawasiliano Wilayani Longido

Posted on: February 27th, 2020

Leo tarehe 27-02-2020 Naibu waziri wa Ujenzi uchukuzi na mawasiliano Mh Atashasta Justus Nditiye akiambatana na wataalamu kutoka TTCL na TCRA  amefanya ziara wilayani Longido  ya kufungua mnara wa mawasiliano uliopo katika kata ya Mundarara ikiwa ni muendelezo wa kampeni ya TTCL ya kuwasha mawasiliano kwa wote Tanzania.

Katika ziara hiyo Mhe Atashasta Justus Nditiye alipata fursa ya kufanya kikao kifupi na uongozi mzima wa wilaya ya Longido uliochini ya Mkuu wa wilaya Ndugu Frank Mwaisumbe pamoja na Mbunge wa jimbo la Longido Dk Stephen Kiruswa na kupokea taarifa fupi ya hali ya miundombinu ya mawasiliano kwa ujumla katika ofisi ya mkuu wa wilaya kabla ya kwenda katika kata ya Mundarara kuzindua mnara wa mawasiliano.

Nae Dk Stephen Kiruswa mbunge wa jimbo la Longido na Mhe Elias Mushao Diwani wa kata ya mundarara walipata nafasi ya kumuomba mhe waziri wa ujenzi na uchukuzi juu ya ubovu wa barabara na sekta nzima ya mawasiliano katika baadhi ya vijiji na vitongoji.

Mkurugenzi mtendaji wa shirika mawasiliano  ndugu Waziri Kindamba kwa niaba ya timu nzima ya TTCL  alimpongeza sana naibu waziri kwa kukubali wito wa kuambatana nao katika uzinduzi wa mnara wa mawasiliano ulio na kampeni ya washa mawasiliano kwa wote pia kuishukuru sana serikali kwa kusaidia katika kuimarisha huduma ya mawasiliano yenye tija Zaidi kwa wananchi.

Pia aliwataka wananchi kuhakikisha wanaiunga mkono serikali kwa kutumia mtandao wa TTCL kwani ni shirika la kizalendo lenye  gharama nafuu na aliwataka kuhakikisha wanalinda mitambo na mashine zilizopo eneo hilo kwani serikali imetumia pesa nyingi katika kuiweka.

Katibu tawala wilaya Ndugu Toba Nguvila akimwakilisha mkuu wa wilaya ndugu Frank Mwaisumbe alipata nafasi ya kumuomba waziri mwenye dhamana ya mawasiliano kuhakikisha huduma ya mawasiliano inakuwa vizuri kwani eneo kubwa la Longido lipo mpakani Zaidi ya kilomita 300. Pia kumuomba waziri kuitengeneza kwa kiwango cha lami barabara ya kutoka sanya juu wilaya ya Siha mpaka Ngorongoro iliyo chini ya TANROAD kwani ni barabara muhimu ya kupitisha watalii.

Naibu waziri Ndugu Atashasta Justus Nditiye aliwashukuru sana wananchi wa Mundarara kwa kujitokeza kwenye mapokezi yake na kumshukuru mkurugenzi mtendaji wa TTCL kwa kumualika kwenye kuwasha na kuzindua mnara wa mawasiliano na kuwapongeza mhe mbunge,Diwani na ofisi ya mkuu wa wilaya kwa mapokezi makubwa sana.

 Mwisho naibu waziri alimalizia kwa kuwataka shirika la TTCL kwa kuhakikisha huduma ya vocha inapatikana na huduma ya internet ya 3G inapatikana katika kata ya mundarara. Pia kuwaahidi wananchi wa Mundarara kuwa serikali itahakikisha inarekebisha barabara kwenye bajeti ijayo na kuhakikisha kuleta minara kwenye baadhi ya kata na vijiji ambavyo mawasiliano sio mazuri.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM