Wakazi wa vijiji vya Olmolog na Elerai wapata neema ya umeme wa mradi wa REA II.
Umeme huo utaunganishwa kwenye nyumba zote wanazohitaji umeme bila kuangalia aina ya nyumba ili mradi mwanachi awe na uwezo wa kulipia gharama za kuunganishiwa umeme.
Nao wakazi wa kijiji hicho wameshukuru na kupongeza juhudi za serikali ya awamu ya tano kwa kuwapelekea huduma hiyo na tayari wameshajaza fomu na kulipia gharama za kuunganishiwa umeme huo.
Arusha- Namanga Road, Longido Town
Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha
Telephone: 027-2539603
Mobile: 0756395889
Email: ded@longidodc.go.tz
Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM