• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

RAS ARUSHA DKT KIHAMIA AWAFUNDA WATUMISHI WA WILAYA YA LONGIDO.

Posted on: October 7th, 2021

Katibu tawala Mkoa wa Arusha Dkt Athumani Kiamia leo tarehe 07-10-2021 amefanya ziara ya kikazi katika Halmashauri ya Longido na kuongea na  watumishi katika ukumbi wa Halmashauri na  kuwataka watumishi wa Halmashauri ya Longido kufanya kazi kwa kuzingatia Sheria, kanuni na taratibu ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na kupunguza malalamiko yanayojitokeza  katika utekelezaji wa majukumu mbalimbali na kupunguza uonevu kwa watumishi

Alisema hayo alipokuwa akizungumza na watumishi wa Halmashauri hiyo kwa lengo la kukumbushana wajibu wa utendaji kazi na kupokea malalamiko au changamoto zinazowakabili wakati wa utekelezaji wa majukumu yao.

Dkt Kiamia akizungumza Hali ya ukusanyaji wa mapato alisema wilaya hiyo bado Kuna Wigo mdogo wa ukusanyaji wa mapato na usiposimamiwa vizuri miradi ya maendeleo itashindwa kutekelezwa ipasavyo na kwa wakati.

Akifafanua juu ya fedha za makusanyo ya mapato ya ndani alisema fedha hizo ni za serikali kuu hazina tofauti na fedha za Ruzuku,na kuitaka halmashauri kutenga asilimia 40 ya mapato ya ndani kila mwezi kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya maendeleo.

" Kwenye hiyo asilimia 40 ndani yake Kuna asilimia 10 ya makundi maalum ambayo ni Wanawake,Vijana na Watu wenye ulemavu,Na fedha hizi zisipotolewa kwa makundi hayo tutahitaji maelezo" alisema Dkt Kiamia.

Katika hatua nyingine alisema utaratibu wa kubadili matumizi ya fedha Kama ilivyoelekezwa ni lazima kuandika barua kuomba kubadili matumizi bila ridhaa ni kosa na ulinganishwa na ubadhirifu wa fedha za Umma,hivyo aliwataka idara ya Mipango kusimamia vyema miradi ya maendeleo katika ngazi zote.

Hata hivyo alitoa agizo kwa wakusanyaji wa ushuru wanaodaiwa na halmashauri hiyo kuhakikisha wanarejesha fedha hizo haraka siku ya leo na kuwachukulia hatua wakusanya mapato wote wanaodaiwa fedha hizo.

" Nitawachukulia hatua,hapa Nimeona wanaodaiwa ni watu 27 nilishatoa maelekezo awali naona hayajatekelezwa , viongozi wakuu wa serikali akiwemo Waziri Mkuu anakemea ubadhirifu huu wa fedha za Umma ambao pia ni agizo la Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu" alisema Dkt Kiamia.

Hata hivyo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Stephen Ulaya alisema kuna baadhi ya wakusanya ushuru wadaiwa na wanaendelea kuzifuatilia kwa ukaribu sana ili ziweze kurejeshwa.

Naye  Mwanasheria wa Halmashauri Erick Justine alisema " Mh RAS tumechukua hatua na tunaendelea kuhakikisha fedha zinarejeshwa pia tumepokea ushauri wako wa kufanya kazi kwa taratibu na kuafuata miongozo ya serikali" alisema Justine

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.