• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

RC ARUSHA ATOA WITO WA AMANI NA UTULIVU LONGIDO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

Posted on: September 4th, 2025

Na.Happiness Nselu

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Makalla, ametoa wito kwa viongozi na watendaji wa Wilaya ya Longido kudumisha amani na utulivu, akisisitiza umuhimu wa kushughulikia migogoro iliyopo kwa wakati.

Watendaji wafike kwa wananchi

Akizungumza leo katika ukumbi wa J. K. Nyerere wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido, CPA Makalla alikutana na watumishi wa Halmashauri, Kamati ya Ulinzi na Usalama pamoja na viongozi wa mila. Alisisitiza kuwa watendaji lazima wafikie wananchi moja kwa moja ili kutatua changamoto na migogoro inayojitokeza.

Ushirikiano kati ya viongozi wa serikali na viongozi wa mila

CPA Makalla alisema kuwa jukumu la viongozi wa serikali na mila ni kushirikiana kuhakikisha mshikamano wa kijamii unadumishwa. “Ni wajibu wetu kuhakikisha wananchi wanashirikiana, migogoro inatatuliwa mapema, na amani inadumishwa kwa maslahi ya maendeleo ya taifa letu,” alisema Mkuu wa Mkoa

Kauli ya Kiongozi wa Mila

Kwa upande wake, Bw. Lekule Laizer, Kiongozi wa Mila, alisisitiza dhamira ya viongozi wa kimila kushirikiana na serikali. “Viongozi wa mila tumejipanga kushirikiana bega kwa bega na serikali kuhakikisha wananchi wetu wanaishi kwa amani, migogoro inatatuliwa mapema, na kila mmoja anatimiza wajibu wake kwa maslahi ya wilaya na taifa,” alisema Bw. Laizer.

Kuhakikisha mshikamano wa kijamii

Aidha, CPA Makalla aliongeza kuwa ushirikiano wa karibu baina ya viongozi wa mila, Kamati ya Ulinzi na Usalama na watumishi wa serikali utasaidia kuimarisha mshikamano wa kijamii na kudumisha amani, ambayo ni msingi wa maendeleo na utulivu wa jamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 08, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA ( LINARUDIWA ) October 10, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA October 19, 2024
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA LONGIDO AWATAKIA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA KILA LAHERI KWENYE MITIHANI YAO

    September 09, 2025
  • HUDUMA ZA UPASUAJI ZAANZA RASMI KITUO CHA AFYA EWORENDEKE - LONGIDO

    September 06, 2025
  • HUDUMA ZA UPASUAJI ZAANZA RASMI KITUO CHA AFYA EWORENDEKE - LONGIDO

    September 06, 2025
  • RC ARUSHA ATOA WITO WA AMANI NA UTULIVU LONGIDO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    September 04, 2025
  • View All

Video

PWC YATOA MSAADA KWA MASHIRIKA MADOGO LONGIDO KUKABILI MABADILIKO YA TABIA NCHI
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.