• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

TEHAMA LONGIDO WAKAGUA MASHINE ZA KUKUSANYIA MAPATO.(POS MASHINE) .

Posted on: July 5th, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeendelea kujidhatiti katika kuhakikisha inaboresha vitendea kazi vya ukusaji wa mapato ikiwa pamoja na kuwatembelea mara kwa mara wahusika wa mapato kazini kwao ili kama kuna changamoto zitatuliwe haraka.

Mapema leo julai 5, 2019 Afisa Tehama Wilaya  Bi. Zainabu Mzee amewatembelea wakusanyaji wa ushuru mbalimbali hususani katika Mipaka ya Namanga (Border Cross Fee)  soko la mifugo ya Eworendeke na wakusanya ushuru wa Mazao Longido ili kukagua kama Mashine zote zinafanya kazi ipasavyo na ziko hewani(online)  sambamba na kuwapatia Vitamblisho  vyenye majina halisi ya mkusanyaji ili kuwatambua kwa majina na sura na kuwaagiza kuvivaa shingoni muda wote.

Aidha Afisa  TEHAMA Zainabu amewaasa wakusanya ushuru kuhakikisha wanatunza mashine hizo kwa uangalifu na kutozichanganya kwa namna yeyote ile kwani kila mkusanyaji amepewa mashine yake mwenyewe yenye laini lakini ineorodhesha aina za mazao ama bidhaa zinazotakiwa kutozwa ushuru.

Awali wakati akitoa vitambulisho kwa wakusanyaji wa ushuru katika mipaka ya Namanga maeneo mbalimbali kama machinjio ya nyama amewataka kufanya kazi kwa uadilifu na uaminifu kulingana na utaratibu wanaoelekezwa bila kuzichezea mashine wala kufanya kazi offline.. Vilevile ameendelea kuwasisitiza kuvaa vitambulisho muda wote ili mtu kutambua haraka nani na anatoka wapi.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.