• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

VIJANA WATAKIWA KULITUMIKIA TAIFA IPASAVYO

Posted on: June 19th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Longido Mhe. Frank James Mwaisumbe amewata Vijana waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa kujitolea wafanye vyema huko waendako ili kuonesha kuwa walistahili kuchaguliwa kwa kuwa Wilaya imefuata vigezo na masharti vilivyotanja katika Tangazo.

Mhe.Mwaisumbe ameyasema hayo jioni ya leo juni 19,2019 katika viwanja vya makao makuu ya Wilaya hiyo wakati akizungumza na Vijana wa Darasa la Saba, Kidato cha nne, Kidato cha sita pamoja na wenye Elimu ya juu, mala baada ya kufanya usahili na kuwachagua vijana stahiki kulingana na sifa zilizokuwa zimetajwa.

Amesema kuwa vijana kama walivyojitokeza kwa wingi ndivyo wanatakiwa kulitumikia Taifa ipasavyo na si kujihusisha na vitendo viovu pale wanapopewa nafasi za kiutawala “huko muendako hakikisha mnaendena na matakwa ya kijeshi na si kuiba, kutoa na kupokea rushwa,kuwa watekaji wala kujihusisha kwa namna yeyote hile katika vitendo viovu” Mhe. Mwaisumbe

Hata hivyo amewaomba maafisa wa jeshi la polisi kuwasajili vijana waliokosa sifa katika Jeshi la akiba yaani Mgambo ili na wao wajione wapo sehemu ya kulitumikia Taifa la Tanzania na wahesabike katika moja ya Majeshi ndani ya nchi yao.

Aidha amewatoa wasiwasi vijana waliokosa sifa kwa kuwahimiza kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) ile hali ya kuwa ndani ya Chama hicho kuna Fursa nyingi kuliko zilizopo Jeshini “nawasihi mistake tamaa kwa kukosa nafasi hii bado nafasi mnayo watakaoshindwa kujiunga na Jeshi la akiba nenda katika Ofisi za CCM mkajisajili ili muwe wanachama, katika CCM kuna fursa nyingi zaidi “ Mhe. Mwaisumbe

Usahili huo umeudhuliwa na Maafisa usalama wote wa Wilaya wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya pamoja na Mkurungenza wa Halmashauri ya Longido Ndg. Jumaa Mhina.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.