• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

HALMASHAURI YA LONGIDO YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI MIA MOJA KWA VIKUNDI.

Posted on: May 31st, 2022

Halmashauri  ya Wilaya ya Longido leo tarehe 31/05/2022 imetoa mkopo  usio na riba wa shilingi milioni mia moja(100.000,000/-) kwa  vikundi 17 vya Wanawake,Vijana na Wenye Ulemavu.Akikabidhi Hundi hizo Mkuu wa Wilaya ya Longido Mh.Nurdini Babu   ameagiza vikundi  vyote vilivyopatiwa mikopo na kushindwa kurejesha  anavipa muda wa Mwezi mmoja kurejesha fedha hizo kabla ya hatua kali za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao. Mh.Babu amesema marejesho hayo ya mikopo itasaidia vikundi vingine kupatiwa mikopo hii. 

Pia Mwenyekiti wa Halmashauri Mh.Simon Oitesoi  amevitaka vikundi hivyo vilivyopatiwa mikopo kuwa mabalozi wazuri kwa kuhimiza ulipaji wa mapato ya Halmashauri kwani mikopo hiyo waliyopatiwa inatokana na mapato ya ndani ya Halmashauri na tunatekeleza ILANI ya Chama cha Mapinduzi kwa kutoa mikopo katika kila robo ya Mwaka..

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndg.Steven Ulaya  amesema ni takwa la kisheria kutoa asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa vikundi vya Wanawake,Vijana na Wenye Ulemavu,Na  kwa sasa serikali inataka pesa hizi zitolewe kwa vikundi vichache vyenye tija na safari hii kwa mara ya kwanza tumetoa milioni 20 kwa kikundi kimoja cha Wanawake,Pia Ulaya amesema ucheleweshwaji wa marejesho ya  Mikopo inasababisha Halmashauri kupata hoja za ukaguzi za CAG..

Vile vile Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Bi Grace Mghase amesema vikundi viliivyopatiwa mkopo ni vikundi vya Wanawake 7,Vijana 9 na watu wenye ulemavu kikundi kimoja. na Kikundi cha Wanawake kimepatiwa shilingi 57,000,000/-,Vijana Sh.45,000,000/- na Walemavu Sh.4,000,000/-.


Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.