• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Zoezi la kupiga chapa mifugo laanza kwa kishindo

Posted on: January 4th, 2018

ya wilaya ya longido mkoani  Arusha imezindua zoezi kupiga chapa ng'ombe leo tarehe 05/01/2018 katika kata ya Orbomba  wilayani longido.


Akizungumza na wananchi  wa kata ya orbomba  mkuu wa wilaya ya longido ndg.Daniel G.Chongolo amesema  sababu za kuchapa ng'ombe hao ni kuepukana na usumbufu wa ng'ombe kutoka nje ya nchi kuingia nchini bila ruhusa,kujulikana kwa idadi ya mifugo hao ndani ya nchi,kuepuka/kurahisisha matibabu kwa ngombe pindi wanapougua magonjwa ,ubora wa mifugo hao kulinganisha na sehemu  zingine.


Pia daktari wa mifugo ndg.Safan Kagoma amewasisitiza wananchi hao kuwa kwa yeyote  ambaye hatajitokeza /kushirikiana kwa kuficha ng'ombe  au kukwamisha zoezi hilo  atakapogundulika atachukuliwa hatua za kisheria ,hivyo basi ni wajibu wa kila mmoja kutoa ng'ombe wake wote na kuwekwa chapa.


Kwa upande wake diwani wa kata ya Orbomba ndg.Motika Kasosi amefurahia  zoezi  hilo kuzindiliwa katika kata yake kwani kwa kushirikiana na viongozi wa vijiji  wamewaelimisha wananchi hao  kuhusiana na zoezi zima la uchapaji ng'ombe na hatimaye    kuitikia  kwa kukubaliana nalo.


Vilevile wameeleza changamoto walizokumbana nazo ni kuwa  baadhi ya walengwa hao wamewahamisha mifugo yao kutokana na hali ya ukame  hivyo kuwa na mifugo chache napia wengine kuwa na mashaka kuwa pindi watakapowatoa mifugo yao kuwekwa chapa watakuja kudaiwa kodi.


Hivyo basi ni imani yao viongozi hao kuwa itakapofikia tarehe 22/01/2018 zoezi hilo litakuwa limekamilika  kwani ni agizo kutoka kwa Rais Dr.John Pombe Magufuli  huku wakiendana na kauli ya hapa  kazi tu ya serikali  ya awamu ya tano.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.