Posted on: July 2nd, 2017
Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Longido Bwana Daniel Chongolo ametembelea Kijiji cha Ngereyani katika kata ya Tingatinga kujionea uharibifu uliofanywa na Tembo katika mashamba ya Wananchi wa Kijiji hicho...
Posted on: June 16th, 2017
Balozi wa Tanzania nchini kenya Bi Pindi Chana pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Longido Daniel Chongolo na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri hiyo Wakili Jumaa Mhina wametembelea Boda ya namanga. Katika zi...
Posted on: June 25th, 2017
Mkurugenzi Mtendaji na Afisaelimu Sekondari wametembelea mradi wa maji wa Oldonyomali na kujionea maendeleo yaliyofikiwa katika mradi huo. Wakiwa katika mradi huo wameona neema ya mradi huo kwa kushuh...