Posted on: April 20th, 2023
Walengwa 43 wa kaya maskini katika kijiji cha Orbomba leo tarehe 20/04/2023 wamepewa mbuzi takribani 164 aina ya ISIOLO na Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya jamii (TASAF),makabidhiano hayo ...
Posted on: March 23rd, 2023
Mwenyekiti wa CCM Mkoa ndugu Steven Zelote pamoja na kamati ya Siasa mkoa wa Arusha wamefanya ziara wilayani Longido tarehe 22/03/2023 ambapo wametembelea miradi mbali mbali ya ma...
Posted on: March 11th, 2023
Watendaji wa kata kutoka katika kata sita zikiwemo kata ya Noondoto, Ilerienito, Gelai Lumbwa, Gelai Merugoi, kamwanga na Elang'hatadapash wamekabidhiwa pikipiki kutoka serikalini ikiwa na lengo la ku...